Kama habari hizi ni za kweli basi hizo ni laana za kejeli kwa Watanzania ambao wanaishi chini ya dola moja ilihali yeye anajinasibu kutumia Milioni kumi kama hela ya mboga,sasa nauliza ya ugali itakuwa kiasi gani?
Mods tuondoleeni huu uzushi. Na report kwa Mods kuhusu uzushi huu.Eti alijaribu kwenye vituo mbalimbali. JF imekuwa kichaka cha kila mjinga kuleta uzushi wake. MODS lindeni heshima ya JF. Kigezo isiwe kujua ku type na kufungua account JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.