Mashine ya kutengeneza ICE BLOCKS

Mashine ya kutengeneza ICE BLOCKS

MtamuMix

Senior Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
119
Reaction score
138
Hodi hodi wapendwa,
Kuna ndugu yangu anatafuta mashine ya kutengeneza ice block, sasa amenipigia hata sina abc za hiyo kitu, in short nimeshindwa kumjibu.
Sasa najua JF limesheni wajuzi wa mambo, anayejua wapi naweza kupata hiyo mashine atusaidie taarifa muhimu nimjibu huyu ndugu yangu, anatoka mkoani na yeye siyo mtu wa mitandaoni sana.

Natanguliza shukrani
 
Watakuja wala usijali ila huo Uza Neimu yako ni Kiboko

You are strong than what you think...
 
Hizi zipo za aina kuu mbili. Nazo ni industrial use na home use
Industrial use inatoa bonge kubwa la barafu kama kg 10 mpaka 50. Na inatumia industrial power, 3 Phase. Hutumika sana ktk viwanda vya mboga ikiwemo nyama na samaki.
Ya pili ni home.. hii inatoa ice cubes, yaani vipande vya barafu kama mawe ya size square centimenter 2.5-3 na hii hutumika sana ktk mahoteli na baa.
Sasa hapo kabla ya kuendelea mbele anatakiwa ajue vitu kadhaa
Kwanza mahitaji yake ya barafu kwa kg/siku
Pili anahitaji kwa ajili ya kazi gani
Mwisho kuanzia 25 kg/h hapa tanzania hakuna ni by order.
Asante sana
 
Back
Top Bottom