- Thread starter
- #21
Umeshindwa kuitoa kwenye box na kuipiga picha vizuri yenye muonekano wa umbo lake kamili, yaani hajulikani kama ni viepson vidogo lakini hata bei haipo
Bei haipo kweli ? Na picha hazitoshi kweli, ngoja nikuongezee picha za nje ya box.. maana wengine wote hawajalamikia bei haipo wala picha hazitoshi.. ni wewe peke yako