Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Mashine ipo kwenye hali nzuri sana bei ni laki tatu tu
Kwa mawasiliano
0719590756
Kwa mawasiliano
0719590756
Hata sufuria ya ukoko wa ugali inaosha??
Hata sufuria ya ukoko wa ugali inaosha??
Inaosha vyombo vya Aina zote
Hata sufuria ya ukoko wa ugali inaosha??
Hehehe dah i love jf
Huu sio utamaduni wetu bana, mtu Wali tu mpaka upikiwe na mashine, vyombo uoshewe na mashine, nguo ufuliwe na mashine, ukimchukua wife aliezoea hizi mashine ukampeleka kijijini kwa wazazi wako kwenye kupikia kuni anabaki anashangaa shangaa tu.Mashine ipo kwenye hali nzuri sana bei ni laki tatu tu
Kwa mawasiliano
0719590756
View attachment 1142306View attachment 1142307View attachment 1142309View attachment 1142313
Huu sio utamaduni wetu bana, mtu Wali tu mpaka upikiwe na mashine, vyombo uoshewe na mashine, nguo ufuliwe na mashine, ukimchukua wife aliezoea hizi mashine ukampeleka kijijini kwa wazazi wako kwenye kupikia kuni anabaki anashangaa shangaa tu.
Huu sio utamaduni wetu bana, mtu Wali tu mpaka upikiwe na mashine, vyombo uoshewe na mashine, nguo ufuliwe na mashine, ukimchukua wife aliezoea hizi mashine ukampeleka kijijini kwa wazazi wako kwenye kupikia kuni anabaki anashangaa shangaa tu.
Ukinunua jipange maji na umeme
Maana zinaosha kwa dakika 15 hadi 60
Aisee hizi mashine sasa ni balaa bado mashine ya kupigia mzigo tu
Chukua 100k
ukifika 150k nishtue