Mashine ya kukamulia Ng'ombe

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2010
Posts
2,415
Reaction score
398
MCHAGA mmoja alinunua mashine ya kukamulia ng'ombe MAZIWA, kabla ya kuitumia kwa ng'ommbe akaijaribu mwenyewe kwa kuivaa kwenye DUDU yake, akasikia rahaaaa ya ukweli kuliko hata anayoipata kwa mkwewe.

Sasa alipomaliza akashangaa mpaka saa 1 limepita mashine haitoki, ikambidi apige simu kastama kea wakamwambia hiyo ni automatiki mpaka zifike LITA 1 NDIO ITOKE.
 
ha hahahaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiii mbavu zangu mie!!

hiyo ndiyo dawa ya walafi!!
 
Ni suala la muda tu - atafikisha lita moja.
 
Du lita moja! Si bao kumi hapo..
 
Hiyo kiboko,, kwa utaalam wangu mimi mzee Wa kutupia nje hiyo lita moja ni sawa na bao 109 kama alikuwa anakunywa supu ya pweza
 
Hiyo kiboko,, kwa utaalam wangu mimi mzee Wa kutupia nje hiyo lita moja ni sawa na bao 109 kama alikuwa anakunywa supu ya pweza

Normal human ejaculation volume is =10mls then in 100 ejaculations =1000mls. atakufa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…