mdau mpya
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 473
- 651
Nataka machine ya kutengeneza sabuni za maji mnakuwa nazo na bei gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio zipo mkuu hii yenye uwezo wa kukoboa nusu tani ni million tano tu karibu sana 0762612213 tupo vinginguti na kisukuluKiongozi!mna mashine za kukoboa mpunga na kuweka kwa viwango?
Sabuni za maji hazina mashine Bali mixer mkuu ya kuchanganya karibu tuongee tuangalie kama utaweza kutengenezewa 0762612213Nataka machine ya kutengeneza sabuni za maji mnakuwa nazo na bei gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii..Mashine ya Sabuni complete ni million 7 miche 150 Kwa saa
Ila machine peke yake 5m hapo ni bila
labeling na cutting machine karibu
Kwa 7m hapo ni kuifunga na kuanza kazi tu
Machine Za Tofali 0762612213Mashine za tofali zipate kwetu tofali moja 2.5m na inayotoa tofali mbili 2.7m
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi mashine tunazitengeneza kwa Oda Ndugu unalipa asilimia 75 ofisini kwetu ndipo inaanza kutengenezwa kwa sasa gharama yake ni million 11 na ukitaka itoe mafuta refined kabisa inakubidi iwekwe heater zake unaongeza million jumla kuu million 13Mkuu vipi mashine za kukamua alizeti mnazo? Kama mnazo mnauzaje??
Sent using Jamii Forums mobile app