usilaumu watoto laumu serikali.watoto wengi walimu wachache.huvi unajua mtiti wakufundisha na kufatilia wanafunzi hata 150 tuu? halafu unakuja kukutana na watoto 500 na kuendelea hapo lazima mbinu zikuishie.unasematu liwalo naliwe.shule zahela wanafunzi wachache nirahisi kuwafatilia kila mmoja.