Mashimo ya Choo yasiyojaa ni kama yako Over-Charged hivi

Its all about physics wala sio uchawi au mazingaombwe. Ipo hivi, haya mashimo kuna namna yanatengenezwa kuchuja maji na taka mwili. Maji taka hunyonywa na ardhi kuelekea chini wakati zile taka mwili hubakia na kuoza na kugeuka wadudu ambao hupotelea ardhini huko na kurutubisha udongo.

But ili yawe effective inatakiwa kujua utaratibu wake wa namna ya kuyajenga. Shimo la nyumbani kwa bi mkubwa lilijengwa 1989 hadi leo hapa naandika, mwaka huu 2021 mwezi February, halijawahi kujaa wala kuvujisha siri za ndani yake.......
Naam ila Bi Mkubwa labda angeamua kufuata fursa ya kupiga ngoma na kila siku watu wanakuja kufurahia mdondiko na kupiga kinywaji..., Hakika lingejaa....

Kwahio hapo ni the rate of decay ni kubwa kuliko the rate of deposit..., ila deposit ikizidi rate of decay..., hapo hakika mtatafutana...., ndio maana hao watu nadhani lazima waulize ukubwa wa familia
 
Its all about physics wala sio uchawi au mazingaombwe. Ipo hivi, haya mashimo kuna namna yanatengenezwa kuchuja maji na taka mwili. Maji taka hunyonywa na ardhi kuelekea chini wakati zile taka mwili hubakia na kuoza na kugeuka wadudu ambao hupotelea ardhini huko na kurutubisha udongo.

But ili yawe effective inatakiwa kujua utaratibu wake wa namna ya kuyajenga. Shimo la nyumbani kwa bi mkubwa lilijengwa 1989 hadi leo hapa naandika, mwaka huu 2021 mwezi February, halijawahi kujaa wala kuvujisha siri za ndani yake.......
Hili la Bi Mkubwa wako ndio hayo ya Kisasa yanayojengwa leo? au kuna tuvimambo fulan fulan tu tulifanyika those days?
 
Daah 89 hadi leo si wanasema ni ya kileo/kisasa? Kumbe tangu zamani yalikuwako? Asante kwa ushuhuda.
Yeah mkuu, swala ni mfumo. Hayo wanayojenga sasa yameboreshwa kidogo tu but mfumo ni ule ule wa shimo zinazonyonya maji na kuyapoteza ardhini.

Sisi kwetu imejengwa tokea miaka hiyo hadi leo hii. But majirani zao kila baada ya miezi miwili mitatu ni lazima wavute......sababu hayawekewa mfumo wa kufyonza maji kwenda ardhini.
 
Naam ila Bi Mkubwa labda angeamua kufuata fursa ya kupiga ngoma na kila siku watu wanakuja kufurahia mdondiko na kupiga kinywaji..., Hakika lingejaa....

Kwahio hapo ni the rate of decay ni kubwa kuliko the rate of deposit..., ila deposit ikizidi rate of decay..., hapo hakika mtatafutana...., ndio maana hao watu nadhani lazima waulize ukubwa wa familia
Familia yetu ni kaya kubwa.... Watu wazima zaidi ya 8 na watoto 5 hapo sijazungumzia ujaji wa wageni plus shughuli za sherehe au mikusanyiko ikitokea.....
 
Hili la Bi Mkubwa wako ndio hayo ya Kisasa yanayojengwa leo? au kuna tuvimambo fulan fulan tu tulifanyika those days?
Hapana, ni mfumo tu wa kuchuja maji yaende ardhini taka mwili zibaki juu zikioza taratibu. Hawa wasasa wameboresha kidogo sana ila mfumo ndio huo.... Wa kunyonya maji na ardhi.

Sasa wengine shimo zao huwa wanasakafia chini.....
 
Hapana, ni mfumo tu wa kuchuja maji yaende ardhini taka mwili zibaki juu zikioza taratibu. Hawa wasasa wameboresha kidogo sana ila mfumo ndio huo.... Wa kunyonya maji na ardhi.

Sasa wengine shimo zao huwa wanasakafia chini.....
Ahaa mimi nilijua unaongelea system exactly kama hizi wanazofanya hawa jamaa sikuhzi. Hiyo unayoongelea wengi wetu tunaijua na mashimo yake yanakuwa marefu mno abt 12 tp 20ft na upana 10 to 12 fts.

Haya ya sasa ni mafupi kiasi cha futi sita mpk 10 na diameter zake ni ndogo abt 1meter maana wanaunganisha culverts 2 au tatu kwenda chini. Me naona shimo la hvyo ni dogo sana. Nahisi halitokaaa miaka 3 mpk 5 bila kujaa maana nahisi hata kama ardhi inanyonya itafika mahali itakuwa saturated.

Kama yupo mwenye uzoefu alietumia shimo za kisasa atujuze kwa uaminifu kabisa. Binafsi nayapenda kwa kuwa hayatumii eneo kubwa la ardhi.
 
Binafsi siamini ile system thou kuna nanmna wananishawishi kwa sasa nataka mwenye ushahidi alietumia ile system kwa miaka walau mitano bila kujaa anirecommend niweke kwenye project yangu.
Mimi nitengeneza hizi system, huyu anaesema ni cheap namshangaa.

Gharama yangu ni kati ya 2m-2.5m kulingana na mazingira yalivyo. Kunawakati ukikosea kustudy site hiyo hela inakata najikuta natumia gharama zangu. Hapa jf kila mtu anajifanya mjuaji
 
Mimi nitengeneza hizi system, huyu anaesema ni cheap namshangaa.

Gharama yangu ni kati ya 2m-2.5m kulingana na mazingira yalivyo. Kunawakati ukikosea kustudy site hiyo hela inakata najikuta natumia gharama zangu. Hapa jf kila mtu anajifanya mjuaji
@pmoses95 huwa haya mashimo yanajaa baada ya muda gani?
 
Wanatoaga hata ya Miaka mitano, but je Guarantee hiyo ni "Legal Binded"?? Au ndio kuanza kuanzisha kusumbuana kwengine?

Miaka mitano michache sana, hata mfumo wa kawaida kabisa wa kizamani unaweza kukaa hata miaka kumi bila kujaa.

Hayo mashimo sio kwamba hayajai ila wanasema yanachukua muda mrefu zaidi kujaa ukilinganisha na ya kawaida.

Lakini nimeshuhudia jamaa wawili yakijaa kila mvua ikinyesha.
Nilichogundua inategemea sana na aina ya udongo wa eneo husika.
 
Ahaa mimi nilijua unaongelea system exactly kama hizi wanazofanya hawa jamaa sikuhzi. Hiyo unayoongelea wengi wetu tunaijua na mashimo yake yanakuwa marefu mno abt 12 tp 20ft na upana 10 to 12 fts.

Haya ya sasa ni mafupi kiasi cha futi sita mpk 10 na diameter zake ni ndogo abt 1meter maana wanaunganisha culverts 2 au tatu kwenda chini. Me naona shimo la hvyo ni dogo sana. Nahisi halitokaaa miaka 3 mpk 5 bila kujaa maana nahisi hata kama ardhi inanyonya itafika mahali itakuwa saturated.

Kama yupo mwenye uzoefu alietumia shimo za kisasa atujuze kwa uaminifu kabisa. Binafsi nayapenda kwa kuwa hayatumii eneo kubwa la ardhi.
Mimi ni mtaalamu wa hii kitu. Nimetengeneza sana huu mfumo. Tangu nianze miaka kumi iliyopita sijawahi pata changamoto ya mteja kulalamika kujaa. Pia tunaandika mikataba. Mimi mikataba wangu no kwamba ndani ya miaka kumi ukipata changamoto yoyote natengeneza upya kwa gharama zangu. Tatizo linakuja pale watu wanapovamia fani Bila kujua siri nzito iliyopo hapo
 
Mimi ni mtaalamu wa hii kitu. Nimetengeneza sana huu mfumo. Tangu nianze miaka kumi iliyopita sijawahi pata changamoto ya mteja kulalamika kujaa. Pia tunaandika mikataba. Mimi mikataba wangu no kwamba ndani ya miaka kumi ukipata changamoto yoyote natengeneza upya kwa gharama zangu. Tatizo linakuja pale watu wanapovamia fani Bila kujua siri nzito iliyopo hapo
Hapo kwenye mkataba wa kisheria hapo utawakamata wengi. Mimi pia nikiwa tayari nitakuchek. Share contacts ama username ya IG tuone samples za kazi yako.
 
@pmoses95 huwa haya mashimo yanajaa baada ya muda gani?
Huwa hayajai labda ubadilishe matumizi
Mfano mfumo wa nyumba ya makazi ni gharama na size yake ni tofauti na mfumo wa shule au chuo

Mfumo wa chuo au shule kubwa na fanya kwa 8m lakini nyumba ya ku accumulate watu wasiozidi 30 nacharge 2.5m.

Sasa Basi sehemu ya makazi ukibadilisha kuwa shule kubwa hapo utakuwa umebadili matumizi ya mfumo hivyo unaweza kuzidiwa
 
Miaka mitano michache sana, hata mfumo wa kawaida kabisa wa kizamani unaweza kukaa hata miaka kumi bila kujaa.

Hayo mashimo sio kwamba hayajai ila wanasema yanachukua muda mrefu zaidi kujaa ukilinganisha na ya kawaida.

Lakini nimeshuhudia jamaa wawiki yakijaa kila mvua ikinyesha.
Nilichogundua inategemea sana na aina ya udongo wa eneo husika.
Mmh kwa hao yanapojaa kila kipindi cha mvua ni wa sehemu gani haswa?
 
Huwa hayajai labda ubadilishe matumizi
Mfano mfumo wa nyumba ya makazi ni gharama na size yake ni tofauti na mfumo wa shule au chip.

Mfumo wa chuo au shule kubwa na fanya kwa 8m lakini nyumba ya ku accumulate watu wasiozidi 30 nacharge 2.5m.

Sasa Basi sehemu ya makazi ukibadilisha kuwa shule kubwa hapo utakuwa umebadili matumizi ya mfumo hivyo unaweza kuzidiwa
Hiyo point ya kujaa kila kipindi cha mvua unaiongeleaje?? Inatatuliwa vipi??
 
Hapo kwenye mkataba wa kisheria hapo utawakamata wengi. Mimi pia nikiwa tayari nitakuchek. Share contacts ama username ya IG tuone samples za kazi yako.
Lazima tuandikishane mikataba kabla ya kazi kuanza.

Mkataba unaonyesha kazi utakayofanya,

Durability ya hiyo system.( Mm naweka 10 yrs) ndani ya miaka hiyo likitokea tatizo nafanya upya kwa gharama zangu,

Kiwango Cha malipo

Mda wa kumaliza kazi

Then unatafutawanasheria tunasign
 
Mmh kwa hao yanapojaa kila kipindi cha mvua ni wa sehemu gani haswa?

Udongo ni wa mfinyanzi sana. Lakini pia kuna uwezekano fundi aliyewatengenezea hakua na weledi wa kutosha. Wengine wanaweka shimo moja, wengine mawili, ukiwauliza kwanini mifumo inatofautiana? Hawakupi hoja za msingi.

Huu mfumo unavyofanya kazi ni udongo kufyonza maji sasa yasipopenya kwenye udongo lazima shimo lijae. Kwa maana hiyo mfumo wa kuchuja maji lazima uwe vizuri sana.
 
hawa wahuni hawana maana kabisa ni wizi mtupu maji yasijae vipi wakati sehemu nyingine yanatoka chini kama chemchem shame on them , hata wenzetu walioendelea hawafanyi huu ujinga
Sawa. Mm nimetengeneza zaidi ya 10 yrs sijawahi pata hata mteja mmoja kulalamika zaidi yayote hao wateja wamekuwa mabalozi wangu wa kunitangazia kazi. Usilolijua NI sawa na usiku wa giza
 
Lazima tuandikishane mikataba kabla ya kazi kuanza.

Mkataba unaonyesha kazi utakayofanya,

Durability ya hiyo system.( Mm naweka 10 yrs) ndani ya miaka hiyo likitokea tatizo nafanya upya kwa gharama zangu,

Kiwango Cha malipo

Mda wa kumaliza kazi

Then unatafutawanasheria tunasign
Contacts au username ya IG?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom