Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,423
- 29,084
Wakuu Kwema?
Kuna haya mashimo ya choo wanayosema hayajai. Inawezekana kweli hayajai au yanajaa kwa kuchelewa lakini naona kama yanakuzwa sana Gharama zake. Yaani nikijaribu kuangalia materials yanayotumika kujenga haya mashimo sioni kabisa system moja ya mashimo mawili kugharimu 2Mil +.
Inawezekana kabisa labda sababu yanapendwa sana ndio maana bei zake ziko juu ili wajenzi wapige hela ndefu, lakini kwenye materials halisi ki ukweli nyinyi wajenzi mnakuza sana.
Au kuna mwenye kuelewa why bei za haya mshimo (system) ziko juu wakati bei za mchanga, cement, kokoto, pipes vinajulikana?
Kuna haya mashimo ya choo wanayosema hayajai. Inawezekana kweli hayajai au yanajaa kwa kuchelewa lakini naona kama yanakuzwa sana Gharama zake. Yaani nikijaribu kuangalia materials yanayotumika kujenga haya mashimo sioni kabisa system moja ya mashimo mawili kugharimu 2Mil +.
Inawezekana kabisa labda sababu yanapendwa sana ndio maana bei zake ziko juu ili wajenzi wapige hela ndefu, lakini kwenye materials halisi ki ukweli nyinyi wajenzi mnakuza sana.
Au kuna mwenye kuelewa why bei za haya mshimo (system) ziko juu wakati bei za mchanga, cement, kokoto, pipes vinajulikana?