Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,950
- 2,436
0655173113
0655173113Contacts au username ya IG?
0655173113Contacts au username ya IG?
Ulifikilia sana bossMimi nilichokifanya, kwanza nilisoma kwa makini na kuangalia video mbalimbali Youtube na kwenye baadhi ya account za instagram za wanaofanya kazi hii.
Ni kweli ukiangalia material wanazotumia na ghalama wanayokupa ni vitu viwili tofauti kabisa. So nilichokifanya mimi ni kumwita fundi anifanyie nnachokitaka (kama nilivyokua nasoma mitandaoni). Na kazi aliimaliza vizuri kwa ghalama isiyozidi laki 8.
Hata hivyo hiyo ghalama bado ni kubwa sana kwa kazi wanazozitangaza hao jamaa. Mimi nilijeng mashimo makubwa kidogo ndio maana ikafikia ghalam hiyo
Ila we dalali wa mafundi ni muongo muongoMimi ni mtaalamu wa hii kitu. Nimetengeneza sana huu mfumo. Tangu nianze miaka kumi iliyopita sijawahi pata changamoto ya mteja kulalamika kujaa. Pia tunaandika mikataba. Mimi mikataba wangu no kwamba ndani ya miaka kumi ukipata changamoto yoyote natengeneza upya kwa gharama zangu. Tatizo linakuja pale watu wanapovamia fani Bila kujua siri nzito iliyopo hapo
Nadhani bei kuwa juu haitokani na material inayotumika, bali utaalamu unaotumika kujenga mashimo hayo. Kwa sana unacholipia ni utaalamu na si material inayotumika kujenga mashimo hayo. Kama mashimo hayo yangeweza kujengwa na mafundi hawa wa kawaida, gharama isingevuka kiasi zaidi ya laki mbili au tatu. Kwa hiyo mzee hapo unachajiwa kutokana na akili inayotumika, na si material yanayotumikaWakuu Kwema?
Kuna haya mashimo ya choo wanayosema hayajai. Inawezekana kweli hayajai au yanajaa kwa kuchelewa lakini naona kama yanakuzwa sana Gharama zake. Yaani nikijaribu kuangalia materials yanayotumika kujenga haya mashimo sioni kabisa system moja ya mashimo mawili kugharimu 2Mil +.
Inawezekana kabisa labda sababu yanapendwa sana ndio maana bei zake ziko juu ili wajenzi wapige hela ndefu, lakini kwenye materials halisi ki ukweli nyinyi wajenzi mnakuza sana.
Au kuna mwenye kuelewa why bei za haya mshimo (system) ziko juu wakati bei za mchanga, cement, kokoto, pipes vinajulikana?
Ndio nachosema ni kweli Materials yake yanafikia huko kwenye 2m - 2.5mil?Mimi nitengeneza hizi system, huyu anaesema ni cheap namshangaa.
Gharama yangu ni kati ya 2m-2.5m kulingana na mazingira yalivyo. Kunawakati ukikosea kustudy site hiyo hela inakata najikuta natumia gharama zangu. Hapa jf kila mtu anajifanya mjuaji
So ni kama alivosema mdau pale juu kua Materials 400,000/= kisha Utaalamu 1.6mil?Nadhani bei kuwa juu haitokani na material inayotumika, bali utaalamu unaotumika kujenga mashimo hayo. Kwa sana unacholipia ni utaalamu na si material inayotumika kujenga mashimo hayo. Kama mashimo hayo yangeweza kujengwa na mafundi hawa wa kawaida, gharama isingevuka kiasi zaidi ya laki mbili au tatu. Kwa hiyo mzee hapo unachajiwa kutokana na akili inayotumika, na si material yanayotumika
Hii 2m ni contract value... Yaani gharama zote za site Kama site visit, site organization, materials na contractor's profit.Ndio nachosema ni kweli Materials yake yanafikia huko kwenye 2m - 2.5mil?
Kwahiyo akija mtu kukuambia materials natumia 120,000 nae utamwamini? Za kuambiwa changanya na zakwakoSo ni kama alivosema mdau pale juu kua Materials 400,000/= kisha Utaalamu 1.6mil?
Hivi unajua tshs 400,000 ni mifuko mingapi ya cement?So ni kama alivosema mdau pale juu kua Materials 400,000/= kisha Utaalamu 1.6mil?
Mm kwa mzee wangu ni tangu 1993 na sikuwahi kuona likifanyiwa marekebisho ya aina yoyoteDaah 89 hadi leo si wanasema ni ya kileo/kisasa? Kumbe tangu zamani yalikuwako? Asante kwa ushuhuda.
Hii mada akijibu Mtu anaefanya Biashara ya Kuwachimbia watu haya Mashimo kama wewe lazima uta justify tu bei kuzidi 2mil. Lakin kua mkweli, Materials mnatumia kias gani katika hiyo 2mil?Hii 2m ni contract value... Yaani gharama zote za site Kama site visit, site organization, materials na contractor's profit.
Kama site ni rafiki haipungui 1.3m haizidi 1.45mHii mada akijibu Mtu anaefanya Biashara ya Kuwachimbia watu haya Mashimo kama wewe lazima uta justify tu bei kuzidi 2mil. Lakin kua mkweli, Materials mnatumia kias gani katika hiyo 2mil?
Hapo umeongea Mkuu,Mi nadhan bei kubwa sababu wanaofany hii kazi bado wachache.....ukitaka bei iwe chini kidogo mchukue fundi anaefanya kaz kwenye haya makampun akufanyie kibingwa....
Lakini ni kweli hayajai..
😂 😂 😂 😂 😂Tangu nipigwe na wazee wa "liquid protector" kwamba hata simu ikidondoka kioo hakipasuki, sina hamu kabisa na hizi mbwembwe nyingine nyingine.
Juzi kuna mmoja kariakoo alitaka aweke ktk simu yangu kwa 2500 ...nilichekaaaa nikamwambia ngoja niingie hapa atm mashine narudiNi kweli kaka,
Nimekumbuka wale jamaa wanaoweka Liquid Screen Protector, zilikuaga zaitwa NANO nadhani. Wakati wanaingia ilikuaga kuweka ni 20,000/=. Lakini sasa mpaka TZS 5,000/= unaweka, na hivi zishaingia feki.
mnaongeaga u$€^ge tu hamna lolote.Mimi ni mtaalamu wa hii kitu. Nimetengeneza sana huu mfumo. Tangu nianze miaka kumi iliyopita sijawahi pata changamoto ya mteja kulalamika kujaa. Pia tunaandika mikataba. Mimi mikataba wangu no kwamba ndani ya miaka kumi ukipata changamoto yoyote natengeneza upya kwa gharama zangu. Tatizo linakuja pale watu wanapovamia fani Bila kujua siri nzito iliyopo hapo