Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,858
- 20,712
Kwa muda mrefu kumekuwa na imani kwamba mafanikio ya taifa la Marekani yanatokana na ushirikiano na mashetani.Inasemekana uhusiano huu una zaidi ya miaka sitini.Kituo ambacho serikali ya Marekani imekuwa ikikitumia kinaitwa Area 51.Katika kituo hiki,zipo tafiti nyingi ambazo viumbe wanaoitwa Aliens ndio wanao ongoza tafiti hizo.
Hivi karibuni utafiti uliofanywa kwa wananchi wa Marekani umeonyesha kwamba 54% ya Wamarekani wanaamini kwamba serikali yao inashiriana na Aliens katika tafiti mbali mbali ambazo dunia inatumia
Ili kupata ukweli wa kile kinachoendelea Area 51,Wamarekani takribani zaidi ya milioni moja wamejipanga kuvamia eneo hilo.Hata hivyo serikali ya Marekani imeapa kwamba iko tayari kukabiliana na waandamanaji hao ili kulinda kile kinachoendelea Area 51,hata ikibidi kuua waandamanaji.
Kupata taarifa kamili tafadhali sikiliza clip zifuatayo.
Hivi karibuni utafiti uliofanywa kwa wananchi wa Marekani umeonyesha kwamba 54% ya Wamarekani wanaamini kwamba serikali yao inashiriana na Aliens katika tafiti mbali mbali ambazo dunia inatumia
Ili kupata ukweli wa kile kinachoendelea Area 51,Wamarekani takribani zaidi ya milioni moja wamejipanga kuvamia eneo hilo.Hata hivyo serikali ya Marekani imeapa kwamba iko tayari kukabiliana na waandamanaji hao ili kulinda kile kinachoendelea Area 51,hata ikibidi kuua waandamanaji.
Kupata taarifa kamili tafadhali sikiliza clip zifuatayo.