Inawezekana kabisa, lakini hiyo ni tabia ya baadhi ya watu. Ni ngumu kuhofia mashemeji ila jitahidi kuwa muangalifu kuchagua mwenza mwenye tabia nzr na mwenye hofu ya Mungu, na pia umuombe Mungu ktk hilo pengine itasaidia kupunguza hizo hofu ulizonazo na hatimaye kumpata mwenye tabia njema.