Pesa sabuni ya roho...mwenyewe hapa niko natafuta bi hadija wangu awe sugar mamy hatakama ana 60+ mi naoa tu qumamaakeUkiona hivyo ujue wanapewa hela mkuu, Atari sana
Pesa sabuni ya roho...mwenyewe hapa niko natafuta bi hadija wangu awe sugar mamy hatakama ana 60+ mi naoa tu qumamaake
NIKUULIZE SWALI?Pesa sabuni ya roho...mwenyewe hapa niko natafuta bi hadija wangu awe sugar mamy hatakama ana 60+ mi naoa tu qumamaake
NIKUULIZE SWALI?
Wewe ni muumini wa Abrahamic religion ipi?Uliza
Umeshaanza kuniclassify mimi ni muumini wa abrahamic religion....no braza mimi ni mbudhaWewe ni muumini wa Abrahamic religion ipi?
Samahan Nimeuliza coz nimeona una direct and indirect attack dhidi ya uislam. Naomba uniwie radhiUmeshaanza kuniclassify mimi ni muumini wa abrahamic religion....no braza mimi ni mbudha
Kivipi mkuuSamahan Nimeuliza coz nimeona una direct and indirect attack dhidi ya uislam. Naomba uniwie radhi
Unawaambia Masheikh hawa wanaohongwa hela barabarani ?Katika kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya tano, mimbari mbalimbali za misikiti imegeuzwa kuwa majukwaa ya wanasiasa kuhutubia, badala ya mimbari hizo kutumiwa na Masheikh kwa ajili ya nasaha kwa waumini.
Mtindo huu umezuka kwa kasi zaidi awamu hii tofauti na awamu nyingine,hali inayowafanya viongozi hao wa dini kukosa uhalali wa kuwakemea wanasiasa pale wanapokengeuka
Nasaha zangu kwao na hasa Sheikh Mkuu,tuachie mimbari zetu ziwe ni jukwaa za masuala yanayojenga umoja baina ya waisl,badala ya kutumika na wanasiasa na kuingiza uharamu wao kwa mgongo wa waumini.
Wao wakija katika mimbari zetu kizungumza siasa ninyi masheikh mnafurahia,lakini ninyi ninyi mkipanda kwenye majukwaa yao kizungumzia dini mnaambiwa mnaingiza udini katika siasa, epukeni hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama miskiti na ofisi wanawajengea kwanini wasipewe platform?Ukiona hivyo ujue wanapewa hela mkuu, Atari sana
Sasa kama miskiti na ofisi wanawajengea kwanini wasipewe platform?