Masheikh wetu mnatupeleka wapi?

mkalamo

JF-Expert Member
Sep 7, 2013
324
347
Katika kipindi hiki cha uongozi wa awamu ya tano, mimbari mbalimbali za misikiti imegeuzwa kuwa majukwaa ya wanasiasa kuhutubia, badala ya mimbari hizo kutumiwa na Masheikh kwa ajili ya nasaha kwa waumini.

Mtindo huu umezuka kwa kasi zaidi awamu hii tofauti na awamu nyingine,hali inayowafanya viongozi hao wa dini kukosa uhalali wa kuwakemea wanasiasa pale wanapokengeuka

Nasaha zangu kwao na hasa Sheikh Mkuu,tuachie mimbari zetu ziwe ni jukwaa za masuala yanayojenga umoja baina ya waisl,badala ya kutumika na wanasiasa na kuingiza uharamu wao kwa mgongo wa waumini.

Wao wakija katika mimbari zetu kizungumza siasa ninyi masheikh mnafurahia,lakini ninyi ninyi mkipanda kwenye majukwaa yao kizungumzia dini mnaambiwa mnaingiza udini katika siasa, epukeni hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshaanza kuniclassify mimi ni muumini wa abrahamic religion....no braza mimi ni mbudha
Samahan Nimeuliza coz nimeona una direct and indirect attack dhidi ya uislam. Naomba uniwie radhi
 
Unawaambia Masheikh hawa wanaohongwa hela barabarani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…