Mashaurini huyu Mwanamke

Mashaurini huyu Mwanamke

Kwahyo we jamaa umeagizwa na mwanamke uje umwombee ushauri huku? Anyway nenda kamwambie hiviiii
Kosa alilofanya ni kukubali kutoa mimba na kuua viumbe wasio na hatia ndo maana jamaa ameona amkache kisomi!
jamaa bhana sa mi mwanamke?
 
penda anaekupenda bana achana na mambo za kukazimisha love,lamda ukute uso ka wa dr shika kwamba ukimuacha hutatongozwa tena
 
Halafu we bint kuna wakati ulikua na akili sana ila saivi sijui nani ana simu yako
😂😂😂😂😂😂
Alafu uwe na adabu eti binti, we mtoto nakuzaa wima wima ujue🙆🙆🙆🙆
 
Since ushatoka mimba kibao, u ar not msichana wa miaka 25 tena, ww ni mama wa miaka 25. Tuanzie hapa kwanza...
 
Back
Top Bottom