masharobaro ni mabrazamen,wasafi wanapozi wanapenda madem wazuri wanajipodoa na raisi wao anaitwa BoB Junior anaown Sharobaro Records...na kinyume chake kuna masharouharoo hao kiongozi wao ni yusuph Mlela Yule actor wa kibongo.
Source:Hemed (Actor wa kibongo na contestant wa Tusker project Fame)