Ni vizuri Lowassa akakubaliwa UKAWA kwa masharti yafuatayo;
Aikane CCM hadharani.
Azikane mila za kifisadi za CCM.
Kama ufisadi anasingiziwa basi aseme kwa nini anasingiziwa.
Awakane marafiki zake mafisadi kama Rostan na Karamagi.
Aahidi kutosaliti UKAWA.
Awe mwanachama wa -NCCR mageuzi siyo CHADEMA kwa sababu CHADEMA waliwahi kumuweka kwenye kundi la mafisadi.
Apewe nafasi yoyote ndani ya UKAWA lakini si nafasi ya mgombea urais-sababu itakuwa ni Ujinga kumuamini mgeni kiasi cha kumuachia uongozi wa nyumba yako.
Akubali masharti mengine atakayopewa na UKAWA.
Aikane CCM hadharani.
Azikane mila za kifisadi za CCM.
Kama ufisadi anasingiziwa basi aseme kwa nini anasingiziwa.
Awakane marafiki zake mafisadi kama Rostan na Karamagi.
Aahidi kutosaliti UKAWA.
Awe mwanachama wa -NCCR mageuzi siyo CHADEMA kwa sababu CHADEMA waliwahi kumuweka kwenye kundi la mafisadi.
Apewe nafasi yoyote ndani ya UKAWA lakini si nafasi ya mgombea urais-sababu itakuwa ni Ujinga kumuamini mgeni kiasi cha kumuachia uongozi wa nyumba yako.
Akubali masharti mengine atakayopewa na UKAWA.