- Thread starter
- #21
Kweli kabisa Na Lowasa si mbaya sana hata kuliko mafisadi wanaogawana Pesa za escro hadharaniapewe tu nafasi ya juu maana nguvu aliyo nayo ni rahisi san kuitoa ccm madarakani
pia hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa cha msingi anatakiwa kujisafisha yeye mwenyewe kabla wengine hawajamsafisha