Mashamba ya kupanda Miti yanauzwa - Mufindi.

Mashamba ya kupanda Miti yanauzwa - Mufindi.

MansaMusa

Senior Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
103
Reaction score
13
Mashamba ya kupanda miti yanauzwa.
Yapo maeneo yenye mvua ya kutosha na ardhi yenye rutuba ya kutosha.

Yapo Igeleke wilayani Mufindi.

Zipo Hekari 200. Hekari Moja ni Tsh 110,000/=.

Kama wahitaji Chache unapimiwa.

Contact: 0687 022411
 
...je nikinunua ninapata na hati miliki au tunauziana kienyeji?
 
Mkuu kidogo sikuelewa.
Hayo ni mashamba matupu-sehemu/ardhi iliyo waz kabisa au yana miti yoyote au mimea yoyote?Kama yana miti yoyote kama ya miaka mingapi?
Hapo ni umbali gani(KM au muda nitajua tu) kutoka Kibao.Na je gari inafika shambani kabisa au KM ngapi kutoka shambani.Kuna majirani?bei ni nzuri nikijua hayo naweza kujikongoja.
 
Mkuu kidogo sikuelewa.
Hayo ni mashamba matupu-sehemu/ardhi iliyo waz kabisa au yana miti yoyote au mimea yoyote?Kama yana miti yoyote kama ya miaka mingapi?
Hapo ni umbali gani(KM au muda nitajua tu) kutoka Kibao.Na je gari inafika shambani kabisa au KM ngapi kutoka shambani.Kuna majirani?bei ni nzuri nikijua hayo naweza kujikongoja.

Ndio hayo ni mashamba hayana miti ni matupu lakini na yenye miti yapo pia ndugu.

Mashamba yaliyopo.

1. Kuna hekari 10, zina miti ya Paina ya miaka 5 na bei yake ni Tsh 15 Milioni.

2. Hekari 15, zina miti ya Paina ya miaka 5 na bei yake ni Tsh 20 Milioni.

3. Hekari 30, zina miti ya Paina ya miaka 7 na bei yake ni Tsh 70 Milioni.

4. Hekari 30, zina miti ya Mlingoti mwekundu ya miaka 5 na bei yake ni Tsh 65 Milioni.

Mashamba yanafikika kwa miguu kwani yapo karibu na kijiji.

NB: Kwa mashamba yenye miti bei ni pamoja na ardhi/shamba. Bei inazungumzika.
 
...je nikinunua ninapata na hati miliki au tunauziana kienyeji?

Mashamba hayana hati miliki ndugu lakini tutafuata taratibu za kuandikishiana kwa uongozi wa kijiji na kama utataka kukata hati miliki basi utaweza kufanya hvo mwenyewe ukishanunua.
 
ntafanyeje nstapeliwe? vp kama naishi mbali nataka npande miti labours wapo?
 
Be mkwamisi wigusa imigunda jangu?

Ndibita kwa Chimbilongo kwidetelo kukuhavila
 
bei yako kubwa.. acha kupandisha bei kihivyo bana.. igeleke mashamba hayajafikia bei yako ya 110,000. hata nusu yake unapata.
 
bei yako kubwa.. acha kupandisha bei kihivyo bana.. igeleke mashamba hayajafikia bei yako ya 110,000. hata nusu yake unapata.
sasa wewe unanaka upewe bure? kwa bei ya 110,000 ni reasonable kabisa inaonekana huna itarest au unapenda vya kunyonga
 
bei yako kubwa.. acha kupandisha bei kihivyo bana.. igeleke mashamba hayajafikia bei yako ya 110,000. hata nusu yake unapata.

Kwa hiyo unalalamika ama unachangia hoja.?

Nenda kanunue kwa hiyo bei unayosema sio lazima ununue kwangu.
 
Back
Top Bottom