Hahaaa naona kila mtu anaomba contact.Hivi wote kweli mna nia ya kulima au kuuliza tu kama mashamba yapo.
kama wote mkilima kweli mtabadilisha uchumi wenu na wa wengine kwa kiwango kikubwa.
Kilimo kinalipa sana ukiamua kujitoa,mwenyewe ni mkulima hivyo nawatia moyo kuwa msonge mbele na kilimo hasa cha matunda na mboga kinalipa sana kwa muda mfupi