Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 419
Kilimo cha mahindi (umwagiliaji) Utengule, Ipo wilaya ya mbeya vijijini, unaingilia mjimdogo wa mbalizi. Kutoka mbeya mjini had utengule nauli ni kati ya sh. 2000 had 4000.Habari yako ndugu yangu..
Naomba tufahamishane kwa wale wenyeji wa Mbeya pamoja na wanao ifahamu kiasi, ni maeneo gani ndani ya Mbeya naweza Kodi shamba hasa kwa kilimo cha umwagiliaji cha mahindi.
Vilevile napenda tufahamishane kuhusu mazao rafiki kwa maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa Mbeya kama Viazi n.k
Natanguliza shukurani, karibu
Ahsante sana ndugu nsa ji...naomba kufaham bei ya kukodi shamba Utengule inaweza ikawa around sh ngapi kwa ekali...Kilimo cha mahindi (umwagiliaji) Utengule, Ipo wilaya ya mbeya vijijini, unaingilia mjimdogo wa mbalizi. Kutoka mbeya mjini had utengule nauli ni kati ya sh. 2000 had 4000.
ni sehemu nzuri sana kwa kilimo cha umwagiliaji na watu wanafsnya hayo tangu kitambo
Kuna mifereji inayotiririsha maji muda wote hata kiangazi kikali...
Watu wanalima nyanya pia
niulize zaidi kama una swali
asante mkuu, ni maeneo gan ndani ya uyole wanalima viaz na bei zakukodi mashamba zikoje maeneo ya Uyole...Mbali na Utengule kama hulimi eneo kubwa sana jaribu pia Bonde la Uyole japo eneo hilo linasapoti zaidi viazi lakini mahindi pia yanakubali,pia Inyala
Ukipata majibu mkuu nicheki tuende wote na mm nikalime,tunatafuta room huko huko tunaweka kambi mpk tunavuna.Habari yako ndugu yangu..
Naomba tufahamishane kwa wale wenyeji wa Mbeya pamoja na wanao ifahamu kiasi, ni maeneo gani ndani ya Mbeya naweza Kodi shamba hasa kwa kilimo cha umwagiliaji cha mahindi.
Vilevile napenda tufahamishane kuhusu mazao rafiki kwa maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa Mbeya kama Viazi n.k
Natanguliza shukurani, karibu
MM pioa naombaUkipata majibu mkuu nicheki tuende wote na mm nikalime,tunatafuta room huko huko tunaweka kambi mpk tunavuna.
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidiUkipata majibu mkuu nicheki tuende wote na mm nikalime,tunatafuta room huko huko tunaweka kambi mpk tunavuna.
Njoo tupige kazi nina shamba la ekari 20Habari yako ndugu yangu..
Naomba tufahamishane kwa wale wenyeji wa Mbeya pamoja na wanao ifahamu kiasi, ni maeneo gani ndani ya Mbeya naweza Kodi shamba hasa kwa kilimo cha umwagiliaji cha mahindi.
Vilevile napenda tufahamishane kuhusu mazao rafiki kwa maeneo mbalimbali ndani ya mkoa wa Mbeya kama Viazi n.k
Natanguliza shukurani, karibu
Mkuu nina utaalamu na mpunga pia, tufanye research then tuunganishe nguvu tukalime.MM pioa naomba
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidi
Ngona tupate data mkuu, pia ukipata mtu akakuambia kuwa nina shamba njoo tupige kazi achana nae, atakulalia kwa gharama zote kisa ametoa shamba, bora kukodi kabisa.MM pioa naomba
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidi
Ngona tupate data mkuu, pia ukipata mtu akakuambia kuwa nina shamba njoo tupige kazi achana nae, atakulalia kwa gharama zote kisa ametoa shamba, bora kukodi kabisa.MM pioa naomba
Jamani mimi pia naomba kujoin ila mm mpunga zaidi
Njaa inakuuma wewe!!!, nina shamba la ekari 70 nalima ekari 30 ndiyo uwezo wangu, mimi nimemwalika hata bure atalima badala ya kukaa pori naona unatokwa viroboto mdomoni!!!! Ok akitaka aje asipotaka hamna kesi!!!Ngona tupate data mkuu, pia ukipata mtu akakuambia kuwa nina shamba njoo tupige kazi achana nae, atakulalia kwa gharama zote kisa ametoa shamba, bora kukodi kabisa.
Njaa inakuuma wewe!!!, nina shamba la ekari 70 nalima ekari 30 ndiyo uwezo wangu, mimi nimemwalika hata bure atalima badala ya kukaa pori naona unatokwa viroboto mdomoni!!!! Ok akitaka aje asipotaka hamna kesi!!!
Ubarikiwe mkuu.Njaa inakuuma wewe!!!, nina shamba la ekari 70 nalima ekari 30 ndiyo uwezo wangu, mimi nimemwalika hata bure atalima badala ya kukaa pori naona unatokwa viroboto mdomoni!!!! Ok akitaka aje asipotaka hamna kesi!!!
Njoo Nemes nina upendo kabisa ninachohitaji ardhi ilimwe kwakuwa hutaondoka nayo utatumia utaiacha, so feel free ila shamba lenyewe lipo kijiji kinaitwa Chiwanda kando ya barabara ya kuelekea sumbawanga kilometa 29 toka Tunduma
Ni mazao gani yanayostawi hapo mkuu? Me napenda sana kilimo, ila pa kuanzia ndio sina.Njoo Nemes nina upendo kabisa ninachohitaji ardhi ilimwe kwakuwa hutaondoka nayo utatumia utaiacha, so feel free ila shamba lenyewe lipo kijiji kinaitwa Chiwanda kando ya barabara ya kuelekea sumbawanga kilometa 29 toka Tunduma