Kyindikibisi
Member
- Apr 7, 2018
- 72
- 36
Habari wadau wa kilimo kwa hapa nchini ni maeneo gani naweza kupata maeneo yanayouzwa kwa bei ndogo namaanisha heka kwa laki moja
mbeya
Sijui
Yapo Njombe nipigie Kwa no.0654889707Habari wadau wa kilimo kwa hapa nchini ni maeneo gani naweza kupata maeneo yanayouzwa kwa bei ndogo namaanisha heka kwa laki moja
Karibu ikwiri,rufiji udongo mzuri Una rutuba
Ova
bei gani chiefKaribu ikwiri,rufiji udongo mzuri Una rutuba
Ova
Yapo Njombe nipigie Kwa no.0654889707
Eka 1 ni 150000 mpk 100000bei gani chief
Nipm chiefEka 1 ni 150000 mpk 100000
Binafsi mm hko nahodhi ardhi za kutodha nlichukuaga kipindi cha Nyuma
Ova
Kama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!
Tafadhali napenda kujuwa bei ya hayo mashambaYapo Njombe nipigie Kwa no.0654889707