Mashamba ya bei rahisi

Mashamba ya bei rahisi

Kiasi kikubwa ni Udongo Mwekundu, Mfinyanzi na Mchanga ni baadhi ya maeneo Machache tu., Maji ni Changamoto hususani kipindi cha Kiangazi hivyo kama unahitaji Kilimo kwa Mwaka Mzima lazima uchimbe Kisima, vinginevyo utafute Shamba ambalo limepitiwa na Mto Msangazi!
NILIAMINISHWA HANDENI KUNA WALOZI BALAA, VIPI HALI ILIVYO SASA?
 
Naikiri kama kuna mtu anajua maeneo yenye mashamba na amesha yaona angeeleza pia upatikanaji wa maji ili kwa kuanzia mtu ajue nini cha kufanya
 
Kama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!

Tuwasilane mkuu 0767 33 11 70

Ni text wakati mwingine sipatikani hewani au 0714 49 75 10
 
Back
Top Bottom