Jackson francis bitamale
Member
- May 6, 2018
- 14
- 0
Nitakucheki kwa hewa
VIP upatikanaji wa MAJI na kiangazi kinakuaje,udongo ni wa rangi ganiKama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!
Kiasi kikubwa ni Udongo Mwekundu, Mfinyanzi na Mchanga ni baadhi ya maeneo Machache tu., Maji ni Changamoto hususani kipindi cha Kiangazi hivyo kama unahitaji Kilimo kwa Mwaka Mzima lazima uchimbe Kisima, vinginevyo utafute Shamba ambalo limepitiwa na Mto Msangazi!VIP upatikanaji wa MAJI na kiangazi kinakuaje,udongo ni wa rangi gani
Nimetoka huko, uko sawa kabisa heka haizidi laki na shamba unakuta halipo mbali na barabaraKama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!
Kiasi kikubwa ni Udongo Mwekundu, Mfinyanzi na Mchanga ni baadhi ya maeneo Machache tu., Maji ni Changamoto hususani kipindi cha Kiangazi hivyo kama unahitaji Kilimo kwa Mwaka Mzima lazima uchimbe Kisima, vinginevyo utafute Shamba ambalo limepitiwa na Mto Msangazi!
Kama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!
Handeni sehemu gani?Kiasi kikubwa ni Udongo Mwekundu, Mfinyanzi na Mchanga ni baadhi ya maeneo Machache tu., Maji ni Changamoto hususani kipindi cha Kiangazi hivyo kama unahitaji Kilimo kwa Mwaka Mzima lazima uchimbe Kisima, vinginevyo utafute Shamba ambalo limepitiwa na Mto Msangazi!
Mazao yote ya Nafaka na Jamii ya Kunde, Mihogo etc!Mkuu, mazao gani yanakubali sana maeneo hayo?
ni Pm mkuu !Kama uhitaji utakuwepo bado mnakaribishwa Wilayani Handeni mje mjipatie ardhi yenye rutuba kwa gharama za Elf 80 hadi laki moja.
Nauli kutoka DSM hadi Handeni ni elf 10 tu, unatoka asubuhi na Jioni unarudi DSM, usafiri upo Wa kutosha na luxury, Barabara ni lami hadi Handeni.
Kubwa zaidi hivi mchakato unaendelea kwa ajili ya Ujenzi wa Kiwanda cha kuchakata Mihogo hivyo nipotential area kwa sasa!
Mazao yote ya Nafaka na Jamii ya Kunde, Mihogo etc!
Iringa sehemu gani nduguIringa
karibu morogoro mashamba yapo meng sana
Samahani nahitaji mawasiliano yakoEka 1 ni 150000 mpk 100000
Binafsi mm hko nahodhi ardhi za kutodha nlichukuaga kipindi cha Nyuma
Ova
0716896430Nitakucheki kwa hewa
Naomba mawasiliano yakooo mkuuu 0716896430 na 0759115764 nchekiNimetoka huko, uko sawa kabisa heka haizidi laki na shamba unakuta halipo mbali na barabara
Nnashida nayoNaomba mawasiliano yakooo mkuuu 0716896430 na 0759115764 ncheki