kukodi au kununua?
naweza kukukodisha langu kwa 100,000 zipo heka 5Ukihitaji ya kukodi unapata na kama yanapatikana ni sh ngapi kwa heka
Mihogo ya aina gani unapanga kulima ?Msaada ninahitaji kulima mihogo kwa mwenye adress ya maeneo ya Mkuranga ninayoweza kupata mashamba.
Atleast heka 4
Mihogo ya aina gani inastawi hapo na inapandwa mwezi gani ?naweza kukukodisha langu kwa 100,000 zipo heka 5
unataka kulima Muhogo, unalo soko? ninao muhogo mie, natafuta soko.Msaada ninahitaji kulima mihogo kwa mwenye adress ya maeneo ya Mkuranga ninayoweza kupata mashamba.
Atleast heka 4
lipo mkurangaShamba lako lipo wap
Msaada ninahitaji kulima mihogo kwa mwenye adress ya maeneo ya Mkuranga ninayoweza kupata mashamba.
Atleast heka 4
nipe contact zko nkupigieNicheq message
Nanas inavunwa baada ya miez mingap tangu kupandwa?Njoo Kiwangwa ulime na mananasi pia. Eka moja iliyokwisha ngolewa visiki ni 2m
nipe contact zko nkupigie