Papillon 1906
Senior Member
- Jun 19, 2025
- 117
- 387
Mashabiki kadhaa wa klabu ya Real Madrid wameonesha nia ya kutomtaka mshambuliaji wa klabu hiyo raia wa Brazil vinicius junior, baada ya kumrushia maneno katika mtandao wa kijamii.
Vinicius junior kwa msimu ulio malizika hakuwa na makali kama misimu kadhaa nyuma, alidrop kidogo inawezekana ni baada ya kusajiriwa mbappe ana onekana kama hana furaha hivi.
Au ni baada ya kuvunjwa moyo kwa kutoshinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo alipewa Rodrigo, pia ukizingatia vinicius ameshinda mataji mengi makubwa kwa ngazi ya klabu hivyo kama hana tena motivation.
Mpira umejaa unafiki kwa jinsi vinicius junior alivyo tukuzwa kipindi anafanya vizuri, kudrop kidogo kwa msimu mmoja watu wamesahau mazuri yote.
Vinicius junior kwa msimu ulio malizika hakuwa na makali kama misimu kadhaa nyuma, alidrop kidogo inawezekana ni baada ya kusajiriwa mbappe ana onekana kama hana furaha hivi.
Au ni baada ya kuvunjwa moyo kwa kutoshinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia ambayo alipewa Rodrigo, pia ukizingatia vinicius ameshinda mataji mengi makubwa kwa ngazi ya klabu hivyo kama hana tena motivation.
Mpira umejaa unafiki kwa jinsi vinicius junior alivyo tukuzwa kipindi anafanya vizuri, kudrop kidogo kwa msimu mmoja watu wamesahau mazuri yote.