brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,393
Tangu TFF ianze utaratibu wa kutangaza mapato uwanja wa taifa, mechi za simba zimekuwa zikiingiza fedha kidogo kulinganisha na Yanga, hata ukiudhuria mechi za simba utaona watu si wengi sana kama mechi za yanga.
Msimu uliopita watu waliokuwa wanaudhuria mechi za Simba uwanja wa taifa walikuwa wachache tukasema kutokana na mwenendo wa timu kufanya vibaya, sasa msimu huu tatizo liko wapi? Wakati timu inafanya vizuri? Pamoja na timu kusaini mikataba ya udhamini na TBL na Azam Tv lakini bado mapato ya mlangoni yataendelea kuwa chanzo kikuu cha fedha, kwaiyo wanasimba wenzangu naomba tuwe tunaudhuria kwa wingi uwanja wa taifa kuisapoti timu na kutunisha mfuko pia.
SIMBA NGUVU MOJA
Msimu uliopita watu waliokuwa wanaudhuria mechi za Simba uwanja wa taifa walikuwa wachache tukasema kutokana na mwenendo wa timu kufanya vibaya, sasa msimu huu tatizo liko wapi? Wakati timu inafanya vizuri? Pamoja na timu kusaini mikataba ya udhamini na TBL na Azam Tv lakini bado mapato ya mlangoni yataendelea kuwa chanzo kikuu cha fedha, kwaiyo wanasimba wenzangu naomba tuwe tunaudhuria kwa wingi uwanja wa taifa kuisapoti timu na kutunisha mfuko pia.
SIMBA NGUVU MOJA