OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 50,369
- 108,648
Sijui analipwa bei gani kwa mwezi huyu mwamba. Najua sisi mashabiki kumuongezea mshahara ni suala gumu kulitekeleza. Ila acha tutumie kama kivumishi cha kumpa anachodtahili huyu box to box locomotive magician maestro midfilder. Akituma pasi anatuma na pasi ya kutolea
Raha kumtazama unatamani kila dakika mpira apewe yeye. Hakika Simba inaweza kuwa imetibu ule ugonjwa wa kukosa kasi kubwa ikimsakama mpinzani.
Fikiria ile mipasi ya kuvusha juu,fikiria ile mipasi inakutana na Miqsonne au Morrison,nini itakuwa kinatokea.
Agizo langu kwa strikers Bocco, Mugalu na Kagere mtendeeni haki huyu ndugu.