Kutokana na vurugu zinazoendelea wilayan masasi,inasemekana watu saba wauwawa na polisi mmoja ajeruiwa na wananchi.
Heri yako uliyebarikiwa kuziona alama za nyakati za uwongo.......Nguvu ya umma gani unaosema?.
Nafikiri labda huelewi maana ya nchi kutotawalika na kutokana na hilo ni vizuri tukubali kutokubaliana. Keep on your chimera.
Acha kuendelea kuonyesha ujuha wako. Dalili za nchi kutotawalika zimetapakaa kila kona ya nchi lakini kipofu wewe hutaki kuziona katika jitihada zako za kusadikika kuvilinda vijisenti vyako ulivyovipata kupitia ufisadi, eti nchi itatawalika tu. Msome Ulimwengu labda atakusaidia kupunguza ujuha wako unaoendelea kuuonyesha.
Raia Mwema - Hii ni harufu mbaya tu, Ibilisi bado hajaenda msalani
Hayo ni mawazo yake kama na mimi nilivyo na ya kwangu, unaweza kuyakubali au kuyakataa..........By the way, who is Ulimwengu in this world...............Mungu alikupa akili ile ile kama aliyotumia kufikria na mkuandika hiyo article, itumie akili uliyopewa bure na Mola katika fikra.........ndiyo maana nikasema kama fikra zako hizi siyo za mgando basi acha niendelee kuwa na fikra zangu mgando........hata article ya Ulimwengu nayo una copy & paste. Cummon dude.
Ulimwengu is nobody after all he is a foreigner...kweli wewe ni juha endelea na ujuha wako wa kujiona ni genius kumbe ni juha wa kutupa.
Ulimwengu is nobody after all he is a foreigner...kweli wewe ni juha endelea na ujuha wako wa kujiona ni genius kumbe ni juha wa kutupa.
Thanks mkuu,
Acha niendelee kuwa juha katika mboni ya jicho lako la fikra tegemezi.........Nani kakwambia mimi ni genious?. Kama kuwa na mawazo yasiyo tegemezi ni kuwa genious, sina tatizo na hilo.
-Ninapenda tukubali kutokubaliana kwa hili kama ishara ya respect na humility but don't forget to start standing on your own.
-Utegemezi hasa wa fikra ni hatari sana katika jamii. Lazima tuuogope kama ukoma.
JWTZ,FFU,na wengine wanafanya kazi zao
Kwa ufupi wa fikra za chama cha majambazi hawakujua kama maovuna, wizi na ukandamizaji wote waliotufanyia kama mwisho wake hautokuwa kama hivi? Kila shm ktk nchi yetu Polis wanalalamikiwa kwakutotimiza wajibu wake na ukandamizaji wa raia na serikali imelifumbia macho nadhani kila mmoja anatafuna hii nchi atakavyo na mwisho wake upo na waja kwani hayo ya masasi na kwingine ni mwanzo tu.
Hakuna utegemezi wa fikra acha ujuha wako wa kutupa. Mawazo yangu na yale watetezi wote wa rasilimali za nchi kutaka rasilimali hizo ziwanufaishe Watanzania yanapokuwa yanashabihiana haionyeshi utegemezi wa fikra kudhani hivyo ni ufinyu mkubwa wa kuchanganua mambo. Acha ujuha wako kutetea dhambi kubwa na udhalimu wa kutisha unaoendelea katika kila kona nchini.
Mkuu,
Ngoja nikuweke sana. Ninafikiri labda unapiga kelele bila hata kuelewa hoja zangu.
Mimi ni mmoja wa watu wanaotaka raslimali za nchi ziwanufaishe wananchi wake. Mikataba ya raslimali za wananchi lazima iwe wazi. Mapato ya biashara za raslimali za nchi lazima wananchi wayafahamu. Huu ndiyo msimamo wangu.
Kitu ambacho sikubaliani nacho na ndiyo hoja ya msingi hapa ni hii dhana na kelele ya watu hapa janvini kusema nchi haitatawalika/haitawaliki na kushangilia kama siyo kusifia yaliyotokea Masasi ambapo waharifu wamefanya maovu na kuharibu mali za watu wasio na hatia na kuharibu vitendea kazi na majengo ya nchi.
Mimi ninasema, nchi inatawalika/itatawalika bila tatizo kwa sababu Watanzania walio wengi wanajua nini maana ya kutatua matatizo kwa njia ya hekima na busara.
Natumaini umenielewa. Destinatio.
....... Endelea kuishi na ujuha wako kwamba nchi itatawalika wakati kila kona ni manandamano ya Wananchi waliochoshwa na kutaka kuchukua sheria mikononi mwao baada ya hao ambao wanatakiwa wawe watetezi wa Watanzania kushindwa kufanya hivyo na kuamua kuweka maslahi yao binafsi mbele badala ya yale ya nchi na wananchi. Hata siku moja siwezi kumwelewa mtu mwenye akili mgando ambaye uwezo wake wa kuchanganua mambo ni finyu mno.