EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Wana JF,
Nimesikia kutoka kwa watu tofauti wakisema kuna masanduku yamekamatwa yakiwa na kura zilizopigwa tayari.
Yeyote mwenye taarifa jamani naomba mtujuze kama ni kweli au la.
Nawasilisha.
Nimesikia kutoka kwa watu tofauti wakisema kuna masanduku yamekamatwa yakiwa na kura zilizopigwa tayari.
Yeyote mwenye taarifa jamani naomba mtujuze kama ni kweli au la.
Nawasilisha.