Masalia mtahamia ACT au mtabaki CCM?

Masalia mtahamia ACT au mtabaki CCM?

REMSA

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,579
Reaction score
956
Baada ya wale wasaliti wa CHADEMA akina Mtela Mwampamba,Juliana Shonza,Mchange na wengineo
kutimuliwa CDM,wapo waliojiunga na ccm.

Lakini mara baada ya sakata la MM na akina M1 kujitokeza,hawa masalia ambao wapo ccm wamekuwa
karibu na Zito na kumsaidia katika mambo mengi ikiwemo kuandaa mikutano ya Zito na waandishi wa habari.
japo wako ccm

Sasa bosi wao huyu ZZK tayari ana chama cha ACT,je ninyi au hawa jamaa walioenda ccm,mtabaki ccm huku
mkiendelea kufadhili ACT? au mtahama na kuhamia ACT ili kumuunga mkono bosi wenu ZZK.
 
Ivi hiki chama kiongozi wake ni nani kwa sasa ingawa najua ni fake tu
 
Kiukweli kwa hapa Masalia wako njia panda...hasa Mtela Mwampamba na Juliana Shonza. Am sure huko waliko wanajuta kwanini walifanya haraka ya kujiunga na CCM
 
Makao makuu yao nilisikia wataweka Mwanza au nilisikia vibaya ni Kigoma Mwandiga?
 
Zito is the most respected and legendary politician in our current generation in Tanzania,Mbowe and Slaa are hypocrisy,full of envy,gossiper,sex manial,immature and traitor leadership who have been covering outside as a sheep bt inside they are deadful and horrible snake liars,they won't win and succeed this war against a humble and strugling man Zito.God be with Zito so do all Tanzanians and the rest of the world.All say Amen
 
Kiukweli kwa hapa Masalia wako njia panda...hasa Mtela Mwampamba na Juliana Shonza. Am sure huko waliko wanajuta kwanini walifanya haraka ya kujiunga na CCM

Mshika mawili moja humponyoka haya sijui watabaki au watahama tena na kashfa kama walivyotimuliwa cdm.
 
Zito is the most respected and legendary politician in our current generation in Tanzania,Mbowe and Slaa are hypocrisy,full of envy,gossiper,sex manial,immature and traitor leadership who have been covering outside as a sheep bt inside they are deadful and horrible snake liars,they won't win and succeed this war against a humble and strugling man Zito.God be with Zito so do all Tanzanians and the rest of the world.All say Amen
Dua zingine kama hizi huwa zinapokelewa na shetani tu.
 
Zito is the most respected and legendary politician in our current generation in Tanzania,Mbowe and Slaa are hypocrisy,full of envy,gossiper,sex manial,immature and traitor leadership who have been covering outside as a sheep bt inside they are deadful and horrible snake liars,they won't win and succeed this war against a humble and strugling man Zito.God be with Zito so do all Tanzanians and the rest of the world.All say Amen

Mungu huyuhuyu aliyesalitiwa na Yuda???
 
What do you talk about? ZZK has done nothing in the development of cdm , when he took seat at his province cdm had 12 wards today there is only one,your research has emerged from your *****, you have used it as among of your sense organs nalabuk, which age r u nalabuk
This party has people who have been fighting for the growth of it, zzk was collected from nowhere now has seen a light of prosperity the back is shouting being supported by a ccm person of your caliber nalabuk,
 
Mbona hamkumbuki yule kigogo wa Temeke, au ndiyo zzk keshamdamp, Mr zzk siyo vizuri jamaa yangu si unakumbuka alitoa tamko pale Lamada Hotel la kukusapoti wewe na harakati zako, za kuisambaratisha CDM akiwa vijana watano ambao waliandika majina feki kwa waandishi wa habari na ukamwambia Habib Mchange awape Tshs 20,000 kila kijana, wewe mwenyewe ulikuja na gari ndogo pale Lamada ukaonge na Habib Mchange ukiwa ndani ya gari iliyokuwa na tinted.
Sasa huyo Patrick ana shida za kufa mtu fanya mpango ukamsaidie si unaijuwa Dar.
 
Zito is the most respected and legendary politician in our current generation in Tanzania,Mbowe and Slaa are hypocrisy,full of envy,gossiper,sex manial,immature and traitor leadership who have been covering outside as a sheep bt inside they are deadful and horrible snake liars,they won't win and succeed this war against a humble and strugling man Zito.God be with Zito so do all Tanzanians and the rest of the world.All say Amen
Kaka kuna haja gani yakuwatukana viongozi humu?Kama unampenda Zito sio lazima utukane wengine
 
Swali linapaswa kuwa wanaoihujumu CDM kwa maana ya Chama na siyo Saccos ya kina Mbowe wako tayari kuilinda na kina bendera fuata upepo (Slaa, Lissu, Mnyika nk) wasiiyumbishe
 
Back
Top Bottom