Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,366
- 834
Mkuu nataka nikuoneKaka amini nakwambia njoo tufanye chimbuko la ukoo wako; sitatumia chochote kile cha dumba nop; mimi nitapiga ngoma tu na kuimba kuita mizimu ya kwenu then uone mizimu yako itakachokwambia; waweza kuja na mkeo au hata wanao washuhudie utakachoambiwa na mababu zako. Unaweza vheza ngoma balaa kama mizimu yako itafurahi ama kukunyoosha kama unajifanya jeuri.
Kila mtu ana shina lake; utake usitake as long as umezaliwa hapa duniani basi una mizimu ya kwenu.