masada.

masada.

nhyama

Member
Joined
Jan 18, 2012
Posts
48
Reaction score
29
Jamani naomba mwenye kuijua namba hii 0784105582 anifahamishi kwani nimekuta missed call na najaribu kuipigia naambiwa haipo, kwa hiyo nahofia inaweza kuwa nilikuwa naitwa kwa ajili ya interview mahali
 
Jamani naomba mwenye kuijua namba hii 0784105582 anifahamishi kwani nimekuta missed call na najaribu kuipigia naambiwa haipo, kwa hiyo nahofia inaweza kuwa nilikuwa naitwa kwa ajili ya interview mahali

Tafuta mtu mwenye airtel money ajaribu kama anatuma pesa kwa huyo kisha itakuletea jina.

By the way hiyo title ni msaada au masada (wimbo wa Alpha Blondy)
 
Hiyo namba ni ya kampuni ya airtel huwa kuna matangazo yao ya kizushi , mimi huwa sipokeagi
 
Back
Top Bottom