mary christmass

Huu upungufu wa kuandika maneno kwa usahihi sasa umekuwa kero kubwa kwetu wa-Tanzania, tufanye mkazo katika ari ya kujisomea vitabu vya hadithi n.k vilivyo katika lugha za Kiswahili na Kiingereza ili tuweze kuandika angalau kwa usahihi zaidi.
 
Huu upungufu wa kuandika maneno kwa usahihi sasa umekuwa kero kubwa kwetu wa-Tanzania, tufanye mkazo katika ari ya kujisomea vitabu vya hadithi n.k vilivyo katika lugha za Kiswahili na Kiingereza ili tuweze kuandika angalau kwa usahihi zaidi.

Wazo zuri.

Kwa lugha ya siku hizi, upungufu unaoungelea nao ni "jipu"....
 
Back
Top Bottom