Marudio ya ITV ya mkutano wa UKAWA Mwanza

Marudio ya ITV ya mkutano wa UKAWA Mwanza

Ngatele

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
809
Reaction score
706
Sijawahi kuona kitu ninachoona leo, camera moja tu inatumika kuwaonesha viongozi wanao ongea, wananchi wanaposhangilia na kuambiwa wanyoshe mikono juu au kuitikia vibwagizo hawaoneshwi.

Chadema hawatakiwi kulipia kipindi hiki kwa gharama ya TV, labda walipie kwa gharama ya redio kwani ni sawa na kusikiliza redio.
 
Sijawahi kuona kitu ninachoona leo, camera moja tu inatumika kuwaonesha viongozi wanao ongea, wananchi wanaposhangilia na kuambiwa wanyoshe mikono juu au kuitikia vibwagizo hawaoneshwi.

Chadema hawatakiwi kulipia kipindi hiki kwa gharama ya TV, labda walipie kwa gharama ya redio kwani ni sawa na kusikiliza redio.

kweli hiyo video shooting haikuwa balanced hadhira imeonyeshwa mara chache na picha inacheza cheza
 
Back
Top Bottom