Marubani Watanzania Waliotoka Shuleni Waandaa maandamano.

But that is a patriotism issue and not a legal one. Hata nchi zilizoendelea makampuni haya lazimishwa kuajiri watu wa nchini kwao. Ndiyo maana Marekani kuna malalamiko sasa kuwa kazi zina chukuliwa na foreigners. Kwa hiyo kaka issue ni ngumu kudeal with kama hakuna legal basis.
Hata hapa Marekani private companies lazima zitangaze nafasi za kazi na zi-certify na wizara ya kazi kwamba hakuna Mmarekani aliye na uwezo wa kufanya kazi hiyo ndipo wanapopewa go ahead ya kuajiri foreigners. Wanaoajiri foreigners bila kibali cha serikali wakikamatwa wanafunguliwa mashtaka na kutozwa faini.
 
Kusoma fani yoyote ni ku-invest in yourself.Hivyo kabla ya kukopa ili usome chochote (u-invest in youself) ni vizuri kufanya feasibility study kama hicho usomacho mwisho wa siku una uhakika kitalipa.Hata kama utasomeshwa bure studies muhimu maana waweza poteza miaka mingi kusomea kisicholipa.Watanzania wengi nafikiri hawafanyi feasibility studies.Anyway kama walisomea vyuo vizuri vinavyotambulika kimataifa na wana degree za mambo ya ndege na leseni zinazotambulika sioni kwa nini wakose kazi.Tatizo kuna wale waliomaliza kidato cha nne au sita wakaenda vyuo kama vya VETA vya urubani ambavyo viko vingi na vina ada kubwa.Fani ya urubani bila degree siku hizi kupata kazi shida tofauti na zamani ambako ni lesseni na flying hours ndivyo vilikuwa vina maana.Hata madereva siku hizi serikalini lazima uwe umemaliza sekondari,uende chuo ndipo waweza jihakikishia ajira.Darasa la saba hawana nafasi hata wakisema waweza endesha benzi zote za ikulu.Vigezo vimepanda.Sijui hao marubani sifa zao za elimu zikoje lakini anyway maandamano haki yao Lakini wakiandamana vizuri wawe na hoja kali si kujua tu kuwasha na kupaisha ndege na kukata kona na kutua.
Jamani naomba kama unauweleo na ili jambo la urubani sio lazima uchangie kama aulewi, watu tumesoma vyuo ivyo ivyo walivyo soma hao hao marubani wa vasco dagama sasa tunacho kiandika tunakielewa, mtu akiitwa rubani inamaanisha ni rubani tofauti ni uzoefu tu lkn utapataje uzoefu na una kazi kwani hao wazungu wanatoka shule na kupata kazi mojakwamoja uzoefu wametoa wapi? Inasikitisha sana.
 
Inakera lakini ndio hivyo watanzania hawana mtetezi,tulizoe wanaoandamana ni machinga na wanafunzi lakini sasa hata taaluma imepata watu watakao simamia kwa mara ya kwanza wanawajibika kuandamana kuonyesha hisia zao kwa umma pamoja na elimu yao kuwa ni elimu yenye muonekano wa juu katika sura ya Watanzania leo hii wanaingia mtaani kuandamana ili wasikilizwe ni jinsi gani wanabaguliwa na mashirika ya ndege ndani ya nchi yao.

Ni aibu sana kwa raia na mzawa wa Taifa hili kubaguliwa ndani ya Nchi yake halali,kisa sababu ya ngozi yake.Ukweli wengi wetu hatuwezi amini haya maneno lakini ndio ukweli.Tanzania ndio Nchi pekee mgeni anauwezo wa kusimama kugombea haki ya Mtanzania na kumshinda mzawa na mzawa kuonekana mkosefu ingawa ni haki yake.
 
Jamani naomba kama unauweleo na ili jambo la urubani sio lazima uchangie kama aulewi, watu tumesoma vyuo ivyo ivyo walivyo soma hao hao marubani wa vasco dagama sasa tunacho kiandika tunakielewa, mtu akiitwa rubani inamaanisha ni rubani tofauti ni uzoefu tu lkn utapataje uzoefu na una kazi kwani hao wazungu wanatoka shule na kupata kazi mojakwamoja uzoefu wametoa wapi? Inasikitisha sana.

Kwanza tuambie idadi ya Marubani wote kwenye hizo kampuni ulizotaja, na kati yao Wazungu au Wageni ni wangapi. Halafu tupe ushahidi kuwa hao Wazungu au Wageni wanapewa work permits na kuajiriwa chini ya viwango vya uzoefu vinavyotakiwa.
 
Sheria zetu za uwekezaji tumezirahisisha hazina tofauti na kuingia guest za uswahilini kupiga short time na kusepa.
Hii nchi bila ma-jobless kuandamana kudai ajira, hakitaeleweka. Namaanisha wale wote waliomaliza vyuo miaka iliyopita na hata wale walioachishwa kazi kimizengwe na mpaka sasa wako mtaani wanatakiwa wote wazame mtaani lianzishwe tifu ndo labda sheri zitrekebishwa. Hii nchi ishakuwa kama juice za chupa. SHAKE WELL BEFORE USE!
 
Hata hapa Marekani private companies lazima zitangaze nafasi za kazi na zi-certify na wizara ya kazi kwamba hakuna Mmarekani aliye na uwezo wa kufanya kazi hiyo ndipo wanapopewa go ahead ya kuajiri foreigners. Wanaoajiri foreigners bila kibali cha serikali wakikamatwa wanafunguliwa mashtaka na kutozwa faini.

Ok fine. Je sheria hizo zipo Tanzania? Kama zipo basi wanahaki ya kulalamikia hayo mashirika. Kama hazipo basi ugomvi wao uwe na serikali. Ila nimekuelewa mkuu.
 
Back
Top Bottom