Marubani wa Shirika la Ndege la Kenya Airways mbioni kufanya mgomo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Imedaiwa mpango huo unatarajiwa kuanza muda wowote kuanzia leo Novemba 3, 2022 baada ya mazungumzo ya wiki mbili baina ya pande mbili kutopata muafaka.

Marubani wanataka warejeshewe mchango wa mafao yao ya kustaafu ambayo yalisimamishwa wakati wa kipindi cha UVIKO-19, wakati Shirika limeweka wazi kuwa halipo vizuri kiuchumi na mpango huo wanaotaka marubani utarejeshwa katikati ya 2023.

Kenya Airways imekuwa ikipata hasara hivi karibuni, ikiwa inapata msaada mkubwa kutoka kwa mwanahisa mkubwa ambaye ni Serikali. Inaelezwa mgomo huo ambao unalenga zaidi Jiji la Nairobi unaweza kusababisha hasara ya Dola Milioni 2.5 (Tsh. Bilioni 5.8).

===========

Kenya Airways pilot strike imminent - sources

Kenya Airways is operating at a lossImage caption: Kenya Airways is operating at a loss

Sources in Kenya Airways say a strike by pilots is expected to start from midnight local time, grounding flights, especially at the main airport in the capital, Nairobi.

The pilots are demanding that the airline resumes contributions to their retirement fund which were stopped during the Covid-19 lockdowns.

The airline however says it is financially strained and unable to resume the contributions until the middle of next year.

Kenya Airways has been reporting financial losses for the better part of the last decade and often depends on financial bailouts from its largest shareholder - the government.

The airline has said it will lose $2.5m (£2.2m) per day if its pilots strike.

The pilots, through the association representing them, gave a notice of their plan to strike two weeks ago.

The two parties have been trading accusations, with the association claiming victimisation of unionised pilots by the management of Kenya Airways.

The airline says that the pilots' association has snubbed invitations to negotiate their demands.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom