Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,711
- 6,474
Toka kwa martin maranja masese (X)
"Leo utaratibu umebadilika Mahakama Kuu katika siku ya pili ya kesi ya uhaini Jamhuri Vs. Tundu A.M Lissu. Tofauti na jana ilivyokuwa, kesi imehamishwa kutoka ukumbi Na. 1 ambao ni ukumbi mkubwa na na kupelekwa ukumbi Na. 2 ambao unaingiza watu 60. Wamehamisha main courtroom bila maelezo yoyote ya kueleweka. Mawakili wapo zaidi ya 30. Viongozi wa chama, wageni na mabalozi? Wanachama watakosa nafasi ya kuingia. Pia, watu wanazuiwa getini na askari. Ulinzi umeongezeka. Hii kesi ina maslahi kwa umma, ilitakiwa kufanywa wazi katika ukumbi mkubwa, mfano Karimjee au ioneshwe LIVE kila anayetaka afuatilie. Tuone huo uhaini wa TAL. Mahakama haitaki visibility? Mahakama inachukia watu kuhudhuria kesi ya TAL? Mahakama siyo tu judge’s bench, witness box, jury box, clerk’s station, well of the Court ni pamoja na public gallery"
Pamoja na kwamba ukumbi wa Mahakama unaingiza watu 60, lakini tumekuta watu tusiowafahamu wamejaza sehemu kubwa ya ukumbi. Watu wanaelezwa nafasi zimejaa, wakae nje. Kumbuka, mawakili pekee ni nusu ya ukumbi, wageni, mabalozi, viongozi, nafasi zimekwisha. Mahakama ijisimamie.
Toka kwa Hilda Newton (X)
Ndani ya Ukumbi wa Mahakama wamejazana Mapolisi. Nje ya Mahakama wanachama wemgi wanazuiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Mahakama.
Wamejaza askari Polisi wengi ambao tayari wameshakaa ndani ya Ukumbi wa Mahakama.
Mvurugano ndani ya Mahakama na nje ya Mahakama ni mkubwa. Leo kutatokea jambo jipya hapa.
Mawakili wetu wameenda kuongea na Uongozi wa Mahakama kuhusu masuala haya. Tunasubiri kuona nini kitaendelea.
"Leo utaratibu umebadilika Mahakama Kuu katika siku ya pili ya kesi ya uhaini Jamhuri Vs. Tundu A.M Lissu. Tofauti na jana ilivyokuwa, kesi imehamishwa kutoka ukumbi Na. 1 ambao ni ukumbi mkubwa na na kupelekwa ukumbi Na. 2 ambao unaingiza watu 60. Wamehamisha main courtroom bila maelezo yoyote ya kueleweka. Mawakili wapo zaidi ya 30. Viongozi wa chama, wageni na mabalozi? Wanachama watakosa nafasi ya kuingia. Pia, watu wanazuiwa getini na askari. Ulinzi umeongezeka. Hii kesi ina maslahi kwa umma, ilitakiwa kufanywa wazi katika ukumbi mkubwa, mfano Karimjee au ioneshwe LIVE kila anayetaka afuatilie. Tuone huo uhaini wa TAL. Mahakama haitaki visibility? Mahakama inachukia watu kuhudhuria kesi ya TAL? Mahakama siyo tu judge’s bench, witness box, jury box, clerk’s station, well of the Court ni pamoja na public gallery"
Pamoja na kwamba ukumbi wa Mahakama unaingiza watu 60, lakini tumekuta watu tusiowafahamu wamejaza sehemu kubwa ya ukumbi. Watu wanaelezwa nafasi zimejaa, wakae nje. Kumbuka, mawakili pekee ni nusu ya ukumbi, wageni, mabalozi, viongozi, nafasi zimekwisha. Mahakama ijisimamie.
Toka kwa Hilda Newton (X)
Ndani ya Ukumbi wa Mahakama wamejazana Mapolisi. Nje ya Mahakama wanachama wemgi wanazuiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Mahakama.
Wamejaza askari Polisi wengi ambao tayari wameshakaa ndani ya Ukumbi wa Mahakama.
Mvurugano ndani ya Mahakama na nje ya Mahakama ni mkubwa. Leo kutatokea jambo jipya hapa.
Mawakili wetu wameenda kuongea na Uongozi wa Mahakama kuhusu masuala haya. Tunasubiri kuona nini kitaendelea.