Maroketi ya Hamas yapiga shabaha ashkelon Israel

Maroketi ya Hamas yapiga shabaha ashkelon Israel

gallow bird

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2024
Posts
13,030
Reaction score
16,060
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu yaliyotengenezwa na kwa malighafi laini kuliko mifupa na minofu ya binadam ndiyo yaliharibiwa vibaya

https://www.timesofisrael.com/liveb...t-in-ashkelon-after-rocket-barrage-from-gaza/
Modes najua man hasira na G-55 ya chadema kumpinga lisu, lakini huu uzi msiuunganishe,uacheni tu kama mnavyoziacha nyuzi za echolima
 

Attachments

  • 2025_04_06_23_03_50.mp4
    82.6 MB
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu yaliyotengenezwa na kwa malighafi laini kuliko mifupa na minofu ya binadam ndiyo yaliharibiwa vibaya

https://www.timesofisrael.com/liveb...t-in-ashkelon-after-rocket-barrage-from-gaza/
Modes najua man hasira na G-55 ya chadema kumpinga lisu, lakini huu uzi msiuunganishe,uacheni tu kama mnavyoziacha nyuzi za echolima
Israel ikianza kujibu hayo makombora hatutaki vilio vya kobazi eti wanawake na watoto wameuawa kwani wanaume wa Gaza hujificha wapi hadi makombora hayawapati?
 
Israel ikianza kujibu hayo makombora hatutaki vilio vya kobazi eti wanawake na watoto wameuawa kwani wanaume wa Gaza hujificha wapi hadi makombora hayawapati?
Majibu ni jambo dogo kuliko kwamba yamerushwa.
Waliorusha ni nani kutoka eneo ambalo ni magofu matupu na eneo ambalo Hamas imetajwa wamemalizwa na walio hai wamenyimwa chakula.
 
Majibu ni jambo dogo kuliko kwamba yamerushwa.
Waliorusha ni nani kutoka eneo ambalo ni magofu matupu na eneo ambalo Hamas imetajwa wamemalizwa na walio hai wamenyimwa chakula.
Kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa vyakula vyote mamilion ya tani wameyamaliza kwa wiki tatu tu?
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu yaliyotengenezwa na kwa malighafi laini kuliko mifupa na minofu ya binadam ndiyo yaliharibiwa vibaya

https://www.timesofisrael.com/liveb...t-in-ashkelon-after-rocket-barrage-from-gaza/
Modes najua man hasira na G-55 ya chadema kumpinga lisu, lakini huu uzi msiuunganishe,uacheni tu kama mnavyoziacha nyuzi za echolima
Acha kufundisha kazi watu uliwaweka wewe?
 
Israel ikianza kujibu hayo makombora hatutaki vilio vya kobazi eti wanawake na watoto wameuawa kwani wanaume wa Gaza hujificha wapi hadi makombora hayawapati?
Eti israel ikijibu, ulikua handakini!?
 
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu yaliyotengenezwa na kwa malighafi laini kuliko mifupa na minofu ya binadam ndiyo yaliharibiwa vibaya

https://www.timesofisrael.com/liveb...t-in-ashkelon-after-rocket-barrage-from-gaza/
Modes najua man hasira na G-55 ya chadema kumpinga lisu, lakini huu uzi msiuunganishe,uacheni tu kama mnavyoziacha nyuzi za echolima
Hamas are amazing...
 
Safi sana nilikua nimeanza kuchukia Israel kwa wao kuendelea kupiga magofu na kuua watu ilhali Hamas waliashaacha vita, kumbe humo bado Kuna mazombi wa ile dini wanashambulia, haya Israel peleka moto....
Webabu Malaria 2
 
Leo,usiku huu, Hamas walirusha maroketi kumi,mengi zaidi katika miezi kadhaa,habari toka israel zinadai wateule watatu walipata majeraha mepesi kama kawaida yao, isipokua magari tu yaliyotengenezwa na kwa malighafi laini kuliko mifupa na minofu ya binadam ndiyo yaliharibiwa vibaya

https://www.timesofisrael.com/liveb...t-in-ashkelon-after-rocket-barrage-from-gaza/
Modes najua man hasira na G-55 ya chadema kumpinga lisu, lakini huu uzi msiuunganishe,uacheni tu kama mnavyoziacha nyuzi za echolima
Hao waga hawafi waliumbwa tofauti na sisi 🤣 😂
 
Majibu ni jambo dogo kuliko kwamba yamerushwa.
Waliorusha ni nani kutoka eneo ambalo ni magofu matupu na eneo ambalo Hamas imetajwa wamemalizwa na walio hai wamenyimwa chakula.
Halafu utasikia eneo hilo hilo lililorushwa makombora kwenda Israel waliokufa kwenye sakasaka ya IDF ni wanawake wazee na watoto na sio mgambo wa Hamas

Unajiuliza..... Hivi wanaorusha haya makombora ndio hao wanawake wazee na watoto?😎

Inachanganya sana🤔
 
ila hamasi wachokozi sana wanaendelea kuua watoto na wazee kama October 7 waliteka vitoto vidogo wakavichoma moto Leo wameludia Wacha tungojee majibu
 
Halafu utasikia eneo hilo hilo lililorushwa makombora kwenda Israel waliokufa kwenye sakasaka IDF ni wanawake wazee na watoto

Hivi wanaorusha haya makombora ndio hao wanawake wazee na watoto?😎

Inachanganya sana🤔
Hawa jamaa wachokozi ngoja niweke bando niingie Israel chanel nione jinsi watakavyoanza kulipiza kisasi hii inafaa JINO KWA jino
 
Back
Top Bottom