Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa inaweza ikaleta matokeo chanya katika jumla ya matokeo yake.....! Hii elimu ngumu sana ila hatuna namna itabidi tusome tu
Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa inaweza ikaleta matokeo chanya katika jumla ya matokeo yake.....! Hii elimu ngumu sana ila hatuna namna itabidi tusome tu
Ndiyo ,unaweza kupata hilo alama moja,nenda kajaze complain form ,lakin inategemea mara nyingi inakuwa applicable kama mtu ana sup 7 akipunguziwa hio 1 hawezi disco tena au kama una hio sup 1 ,sema jaza complain form tuu unaeza pewa hio marks 1
Ndiyo ,unaweza kupata hilo alama moja,nenda kajaze complain form ,lakin inategemea mara nyingi inakuwa applicable kama mtu ana sup 7 akipunguziwa hio 1 hawezi disco tena au kama una hio sup 1 ,sema jaza complain form tuu unaeza pewa hio marks 1
Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa inaweza ikaleta matokeo chanya katika jumla ya matokeo yake.....! Hii elimu ngumu sana ila hatuna namna itabidi tusome tu