Marks 1...

BangiNyeusi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
490
Reaction score
593
Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa inaweza ikaleta matokeo chanya katika jumla ya matokeo yake.....! Hii elimu ngumu sana ila hatuna namna itabidi tusome tu
 
Ndiyo ,unaweza kupata hilo alama moja,nenda kajaze complain form ,lakin inategemea mara nyingi inakuwa applicable kama mtu ana sup 7 akipunguziwa hio 1 hawezi disco tena au kama una hio sup 1 ,sema jaza complain form tuu unaeza pewa hio marks 1
 
Ndiyo ,unaweza kupata hilo alama moja,nenda kajaze complain form ,lakin inategemea mara nyingi inakuwa applicable kama mtu ana sup 7 akipunguziwa hio 1 hawezi disco tena au kama una hio sup 1 ,sema jaza complain form tuu unaeza pewa hio marks 1
7 mkuu na paper kazaa zimegota kwenye 39.. ngoja nijaribu bahat mara nyingine
 
Ilikuwepo zamani siku hizi imefutwa naskia
 
Sasa wewe una supp saba bado unatafuta huruma tu?we njoo tulime tu huku mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…