Mmasi
Senior Member
- Oct 26, 2011
- 164
- 15
Mambo ni vije wadau! Mi ni mefungua hii thread ili tutengeneze making scheme ya mtihani wa kidato cha nne 2011 kwasababu wanaJF ni Great Thinkers.Hivyo ukikumbuka swali lilete hapa jamvini ili 2 lisolve ninawaomba tulete maswali ya kila somo even Mathematics.Pia kutakuwa na Masahihisho mwishoni mwa mwezi wa pili 2012: Kwa wale ambao hawakuwa watahiniwa mwaka huo watashiriki kwa kusolve maswali yatakayo letwa.I WISH WE "LL CONTRIBUTE MUCH.