papaa2015
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 411
- 101
Habari,
ndugu zangu,baada ya kutoka masomoni ughaibuni niliajiriwa na kampuni moja ya marketing kwa miaka 2 ambapo nilijifunza mambo mengi.Kwa malengo niliyojiwekea ni kufanya nao miaka 2 then niwe na kampuni yangu mwenyewe yenye kufanya kazi kama hizo.
Tayari nimeshaandaa memorandum na article of association na nimeshampatia pesa mwanasheria kwa ajili ya kusajili,nategemea next week nitakuwa na documents zote.Natambua kwamba jukwaa hili lina watu wengi na wenye taalaum mbali mbali.
Naomba yeyote ambaye anaweza kazi za promotions,roadshows,merchandising na branding mnikumbe kwenye kazi,kama kawaida nitakuwa na percent nzuri kwa yoyote atakaye nipa kazi kulinga na makubaliano tutakayofanya.Na pia niko very commited na kazi nikiwa na ndoto ya kuifanya kampuni yangu kuongoza katika nyanja hiyo hapa bongo
ndugu zangu,baada ya kutoka masomoni ughaibuni niliajiriwa na kampuni moja ya marketing kwa miaka 2 ambapo nilijifunza mambo mengi.Kwa malengo niliyojiwekea ni kufanya nao miaka 2 then niwe na kampuni yangu mwenyewe yenye kufanya kazi kama hizo.
Tayari nimeshaandaa memorandum na article of association na nimeshampatia pesa mwanasheria kwa ajili ya kusajili,nategemea next week nitakuwa na documents zote.Natambua kwamba jukwaa hili lina watu wengi na wenye taalaum mbali mbali.
Naomba yeyote ambaye anaweza kazi za promotions,roadshows,merchandising na branding mnikumbe kwenye kazi,kama kawaida nitakuwa na percent nzuri kwa yoyote atakaye nipa kazi kulinga na makubaliano tutakayofanya.Na pia niko very commited na kazi nikiwa na ndoto ya kuifanya kampuni yangu kuongoza katika nyanja hiyo hapa bongo