Mark Zuckerberg: The end of smartphones and TVs is coming

next level artificial intelligence, wa tz tunaona haya mambo ni yakufikirika wakati wenzetu tayari wako lab wanatest namna ya kuimpliment.

Mwanzoni mwa miaka ya tisini zilianza movie zinazohusisha laptop, hapo laptop ikipewa uzito usiofikirika, yani bodyguard wa rahisi kila aendapo anayo, unapoambiwa mambo yote kuhusu taifa yap kwenye briefcase computer unaona ni acting tu, kumbe huko watu wapo labs, leo watu wanaona kitu cha kawaida tu.

its just a matter of time hata hizi tv zitakuwa hazina maana, sababu kabla haijafika saa mbili tayari ishapata habari zote kiganjani mwako, tena as they happened, opinion za watu wengine ushazisoma, wenye hulka na habari za saa mbili siku hizi ni wazee wetu ambao bado wapo kwenye industrialization era, majority ya vijana tupo kwenye information era, kila kitu kiganjani mwako.

Tatizo kubwa lililopo ni vyuo vyetu bado vipo na sylabus za 90s, India ni wajanja sana, sylabus vyuoni maximum ni three years, matokeo yake engineer wa tz upande wa technology hana tofauti sana na mtu yeyote aliye na interest na technology.
Ni kweli. Hata miaka ya 70 tuliokuwa tunaandgalia movie films za James Bond, mambo mengi alijuwa anatumia remote contoler kwa mfano kuwasha radio, kuwasha gari, video games, kufungua gari tukaapa kabisa hii haiwezi kutokea duniani. Sasa angalia dunia ya sasa.
 
Hv bongo hamna software enginers,madeve.
Kwakuwa mm sijui.
Naomba msaada iv ni wapi
Hawa soft eng.wa bongo huwa wanakutana ata wakaja na idea moja kubw.
Au kama kuna m2 ana link ya hawa watu wanapo kutana ebu anisaidie
 
Labda niwaweke sawa richa ya ayo maendeleo zingatia vitu ivi
1)simu ata iwe nauwezo wakukupa taarifa vipi uwe na app ya TV nakadharika lakini umuhimu was TV upo palepale asikwambie mtu kuangalia video katika kioo kikubwa ni raha

2)ata ikija iyo technology ya kuwasiliana kwakutumia hisia lakini ukumbuke kuchati kwa kutype kuna rahauake mtu kama mimi nitakuwa nachati kama kawa

3)ije iyo technology kwamba amna aja ya kununua physical TV eti utakuwa unapata TV kupitia app then unacheki kwenye ukuta mti kama mimi still nitaitaji physical TV kwasabu kwangu Mimi TV inakazi nyingi moja wapo ni urembo wa chumba/nyumba

NB:chakuongezea smartphone ata zije na uwezo gani kuishinda laptop still laptop itabaki kuwa na heshima yake ileile kwasabu simu aiwezi kuperform kazi kwa weredi kama laptop bali ni kufosi tu,pia laptop INA raha yake usiongee tu kwasabu unamiliki laptop ya lakimbili nakati kuna vinu vinafika millioni tano

PLEASE usitafute makosa kutype sikazi rahisi we toa hoja
Jamaa Amesema Technology TV utakayoiangalia itakua Kubwa Kuliko TV yoyote Utahitaji Ukuta tuu au hata friji yenye Rangi Nyeupe yaani Itakua Raha.
 
"We don't need a physical TV. We can buy a $1 app 'TV' and put it on the wall and watch it,"
only for dreamers this is possible
All great innovations were once dreams. So let the dreamers work hard at making their dreams come true for pessimists like you to use and probably point out the glitches of things you have no clue how they were invented in the first place like the gadget you just used to post your comment.................
 
Dah, wenzetu huko mbele wanaumiza kweli vichwa, huku bongo nyumbu kila mahali.
wanafunzi wa kibongo wako vizuri kwenye kumeza notes ila ukiwapeleka kwenye real practical ni sifuri kabisa" kuna umuhimu wa mitaala yetu ya elimu kubadilishwa ... ona ma genius wa kizungu wanavyoumiza vichwa ila hawa wa kwetu sijui huwa wanaishia wapi? so sad kwa kweli
 
Kwa As zinazopangwa na Sekondari binafsi wanaopata division one wote bila two mpaka zero. Tungekuwa na vijana wanaoweza angalau kutengeneza toothpicks!!!!!!?
 
Hat
next level artificial intelligence, wa tz tunaona haya mambo ni yakufikirika wakati wenzetu tayari wako lab wanatest namna ya kuimpliment.

Mwanzoni mwa miaka ya tisini zilianza movie zinazohusisha laptop, hapo laptop ikipewa uzito usiofikirika, yani bodyguard wa rahisi kila aendapo anayo, unapoambiwa mambo yote kuhusu taifa yap kwenye briefcase computer unaona ni acting tu, kumbe huko watu wapo labs, leo watu wanaona kitu cha kawaida tu.

its just a matter of time hata hizi tv zitakuwa hazina maana, sababu kabla haijafika saa mbili tayari ishapata habari zote kiganjani mwako, tena as they happened, opinion za watu wengine ushazisoma, wenye hulka na habari za saa mbili siku hizi ni wazee wetu ambao bado wapo kwenye industrialization era, majority ya vijana tupo kwenye information era, kila kitu kiganjani mwako.

Tatizo kubwa lililopo ni vyuo vyetu bado vipo na sylabus za 90s, India ni wajanja sana, sylabus vyuoni maximum ni three years, matokeo yake engineer wa tz upande wa technology hana tofauti sana na mtu yeyote aliye na interest na technology.

Hata kwa Tanzania Syllabus inakuwa reviewed kila baada ya miaka mitatu
 
Hat


Hata kwa Tanzania Syllabus inakuwa reviewed kila baada ya miaka mitatu
yangekuwa hayo basi languages kama pascal tusingekuwa tinafundishwa mavyuoni, hadi leo vifaa vilivyokua labs za electronics mostly ni vya hexadecimals/machine level language. Huwezi fanya programming ya maaana kwa kusoma hayo majitu, ndio html, java, c programming, etc.. zinafundishwa, still zinafundishwa very shallow not to compete with developed countries.
upande wa artificial intelligance ndio tupo nyuma hakuna mfano..
 
next level artificial intelligence, wa tz tunaona haya mambo ni yakufikirika wakati wenzetu tayari wako lab wanatest namna ya kuimpliment.

Mwanzoni mwa miaka ya tisini zilianza movie zinazohusisha laptop, hapo laptop ikipewa uzito usiofikirika, yani bodyguard wa rahisi kila aendapo anayo, unapoambiwa mambo yote kuhusu taifa yap kwenye briefcase computer unaona ni acting tu, kumbe huko watu wapo labs, leo watu wanaona kitu cha kawaida tu.

its just a matter of time hata hizi tv zitakuwa hazina maana, sababu kabla haijafika saa mbili tayari ishapata habari zote kiganjani mwako, tena as they happened, opinion za watu wengine ushazisoma, wenye hulka na habari za saa mbili siku hizi ni wazee wetu ambao bado wapo kwenye industrialization era, majority ya vijana tupo kwenye information era, kila kitu kiganjani mwako.

Tatizo kubwa lililopo ni vyuo vyetu bado vipo na sylabus za 90s, India ni wajanja sana, sylabus vyuoni maximum ni three years, matokeo yake engineer wa tz upande wa technology hana tofauti sana na mtu yeyote aliye na interest na technology.
Japani waliwahi kutengeneza cm ambazo ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi, unaongea kimoyomoyo ili watu wasijue unaongea nini. Yule unayeongea naye anakusikia kwà sauti ya kawaida. Hata bubu wanazo simu zao za kutumia kwa hisia maana kile anachofikiria anashindwa kutamka. Tatizo lilikujà kwa viziwi namna ya kuwawezesha kusikia. Techonoljia ya kijapani kwenye mawasiliano iko mbali sana sana na nchi za Kiafrica( na dunia ya 3 zingine) haziwezi kufanya biashara na Japani. Sasa kwa sasa wenzetu hawalali, wànàchofanya ni kuhakikisha matumizi ya micro electronics yanachukua nafasi badala ya devices kubwa kubwa
 
Japani waliwahi kutengeneza cm ambazo ukiwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi, unaongea kimoyomoyo ili watu wasijue unaongea nini. Yule unayeongea naye anakusikia kwà sauti ya kawaida. Hata bubu wanazo simu zao za kutumia kwa hisia maana kile anachofikiria anashindwa kutamka. Tatizo lilikujà kwa viziwi namna ya kuwawezesha kusikia. Techonoljia ya kijapani kwenye mawasiliano iko mbali sana sana na nchi za Kiafrica( na dunia ya 3 zingine) haziwezi kufanya biashara na Japani. Sasa kwa sasa wenzetu hawalali, wànàchofanya ni kuhakikisha matumizi ya micro electronics yanachukua nafasi badala ya devices kubwa kubwa
personally naona shida kubwa ipo COSTECH na ERB.
ERB inapokea annual registration fee tu kila mwaka, haina focus yoyote na future ya mainjinia wa tz, maana kila kitu ni artificial intelligance, ERB wangekomaa tungepata fresh graduates wa kutosha.
COSTECH ndio imeanza na incubation ya innovators ila scale yake ni ndogo sana to make any impact, na hao innovators wenyewe hawana mptisha yoyote ya kuwafanya wawe wabunifu kweli zaidi ya kicopy what is done in west na kutransform matokeo kitanzania, impact ni ndogo sana, ubunifu unakuwa mdogo.
 
huu sio uchochezi bali n unyanyapaaji. Neno rahisi hapo n Facebook tu, mana hata jina la huyo jamaa kulitamka waweza meza ulimi
 
Amemaanisha augment reality aka AR technology inayoenda sambamba na VR (virtual reality)

Huwezi ukataja AR bila kumtaja microsoft na miwani zake za Hololens,

Japo thread inafanya kama vile facebook ndio wameanza lakini ukweli ni facebook, Aplle na Google ndio wanaomkopi microsoft sababu ni miaka imepita toka hololens itoke.

Hizi AR na VR ni miwani unavaa, AR unavaa miwani, unaona mazingira ya nje na unaona pia picha au video kwa pamoja wakati VR huoni mazingira ya nje bali unaona tu picha au video,

Mfano wa VR angalia hii picha.

2787335-hololens4.jpg


Huyo ni mwanamke anaongea na mtu kupitia skype ambayo ipo kama kwenye tv/monitor ya kufikirika anaelekezwa namna ya kufix bomba la sink/karo

Hivyo unaona hapo ukiwa na hizi miwani unaweza ukatengeneza mwenyewe kama ni tv then ukaangalia movie fresh tu.

Technology bado ni changa ila inakuwa, big players wote wapo humu kuanzia kina amazon, Nokia, samsung, Google, Facebook, Apple, Microsoft etc

Hii technology niliwahi kuiwaza sana kama itakuja siku moja kutokea na flat TV zikawa hazina maana, nilikuw mara nyingi nikifikria namna zile projector zinatransfer image kwenye ukuta na kuona video...asee hii safi sana. Ikisambaa zaidi ifike hadi tuweze kuwa na projector ndogo zaidi ya kukaa kwenye smartphone ili nikiwa nataka kuangalia video naelekeza simu ukutani na enlarge image saizi ya flat TV nchi 40!!!dah!!amazing

Baada ya Mungu ni Mzungu
 
Hii technology niliwahi kuiwaza sana kama itakuja siku moja kutokea na flat TV zikawa hazina maana, nilikuw mara nyingi nikifikria namna zile projector zinatransfer image kwenye ukuta na kuona video...asee hii safi sana. Ikisambaa zaidi ifike hadi tuweze kuwa na projector ndogo zaidi ya kukaa kwenye smartphone ili nikiwa nataka kuangalia video naelekeza simu ukutani na enlarge image saizi ya flat TV nchi 40!!!dah!!amazing

Baada ya Mungu ni Mzungu
Zipo projector ndogo zinaitwa pico projector na zipo simu zenye projector ila tatizo ni kwamba quality yake bado ni ndogo, nyingi ni 480p hivyo bado haziwezi kuwa mbadala wa tv, ila tunapokwenda zitakuwa tu.

gsmarena_005.jpg
 
Back
Top Bottom