Mark Mwandosya Live, Sumaye Kesho

Mark Mwandosya Live, Sumaye Kesho

Nasikia Star TV wamechelewa ndege kwenda kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Mhe Mwandosya
 
Baada ya matangazo ya Bunge Star tv Prof. Mark Mwandosya atakuwa Live akitangaza nia ya kugombea U-rais

Kesho tarehe 2, Fredrick Sumaye na yeye atakuwa Live.

Hawa nao wanahangaika tu yaani wanatangaza kitu ambacho wanajua fika kuwa hawawezi kupitishwa. ningekuwa mimi ningetulia tu nile pensheni yangu.
 
Mbona amekimbia alijua matangazo yaenda hewani live nn
Tayari umejitoa kwenye mbio za kijiti
 
SUMAYE ALISAHAU NIN miaka10 zote alikuwa waziri mkuu? akafuge ng'ombe wake kibaha
 
Back
Top Bottom