Mark Mwandosya Live, Sumaye Kesho

Mark Mwandosya Live, Sumaye Kesho

Jenerali Ambamba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
3,344
Reaction score
2,537
Baada ya matangazo ya Bunge Star tv Prof. Mark Mwandosya atakuwa Live akitangaza nia ya kugombea U-rais

Kesho tarehe 2, Fredrick Sumaye na yeye atakuwa Live.
 
Mbona naona Taarifa ya habari tu hapa StarTV
 
Mgonjwa huyo nani ampe urais,hatutaki gharama za uchaguzi kama zambia
 
  • Thanks
Reactions: PPM
hahahahahah....mwenzake wa Mwitongo ametangaza kimya kimya bila chombo chochote cha habari kwenda LIVE...
 
Yoote magamba tu....!!! Lkn ukitafuta nafuu katika wagonjwa bora huyu kuliko Lowassa!!!
 
Back
Top Bottom