Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Katika watu niliokua nawaheshimu ni pamoja na mkapa lakini kuanzia jana nilitangaza kumdharau siku zote za maisha yangu zilizobaki. Hovyo sana.. Ana hasira ukawa wakishika nchi watampeleka mahakamani kwa kuvunja katiba ya nchi na kufanya biashara akiwa madarakani na kumshitaki kwa kuanzisha migodi feki na mingine kujiuzia migodi kwa mgongo wa usalama wa taifa.