Halafu wakatoliki wanamkimbilia muovu! Hilo hawalioni mapadre na maaskofu wa kikatoliki.Kwa maneno aliyotoa Mkapa jana kwa kweli inabidi atafute muda na kuomba msamaha. Kuna ubaya gani mtu kuhama chama au kutoa maoni yako. Mbona Sumaye wala Lowassa hawaja wahi kutukana wenzao? Hivi mtu hutakiwi kuwa huru ktk kufanya jambo pasipo kuvunja sheria. Huu ulevi wa kupokezana madaraka ndio unawapa kiburi CCM na wakina Kikwete na Mkapa. Haya mambo yana mwisho haya.
Embu angalia hiki kijibwa cha ccm na akili za matakoni..jinga sanaSo what?
Mpumbavu ni yeye aliyekua anapigwa na mama anna kila kukicha mpaka linateguliwa mguu.
Ben ni mpumbavu na lofa...ameanzisha siasa za matusi sasa akae mkao wa kutukanwa..mpumbavu mkubwa limenenepeana kama mjamzito
Kauli ndio kitu pekee kilicho katikati ya nafsi na mwili! Ukitaka jambo zuri sema vizuri na ukitaka baya sema vibaya!
Ben ni mpumbavu na lofa...ameanzisha siasa za matusi sasa akae mkao wa kutukanwa..mpumbavu mkubwa limenenepeana kama mjamzito