Mark II Grande GX110 bei poa

Mark II Grande GX110 bei poa

Big Money

Senior Member
Joined
Oct 24, 2011
Posts
166
Reaction score
15
Year 2003
2.4L
94000km
8mil
Sport Rims
Full a/c
Super music system inside
0716398757
Serious buyers only
 

Attachments

  • 1408987781974.jpg
    1408987781974.jpg
    73.8 KB · Views: 783
  • 1408987810056.jpg
    1408987810056.jpg
    59.9 KB · Views: 694
  • 1408987840851.jpg
    1408987840851.jpg
    66.1 KB · Views: 662
  • 1408987860193.jpg
    1408987860193.jpg
    52.9 KB · Views: 638
Nyonya damu hilo kakate screpa mdau
 
Hakatwi mtu hapo. 2.4L saloon c bora ingekuwa ya juu kidogo na 4×4 hivi. Bora ulipeleke mikoani hawajui maana ya 2.4L
 
Nyonya damu hilo kakate screpa mdau

Hakatwi mtu hapo. 2.4L saloon c bora ingekuwa ya juu kidogo na 4×4 hivi. Bora ulipeleke mikoani hawajui maana ya 2.4L

cc2400 six cylinders ndo hiyo mashine...meli hiyo

Nyi hapo juu, mbona mmekuwa negative sana?
Msimharibie mwenzenu biashara yake, kama sio wanunuzi nadhani mngepita kimya kimya! Kama nyi hamna uwezo wa kulihudumia basi wapo walio na uwezo huo!
 
Nyi hapo juu, mbona mmekuwa negative sana?
Msimharibie mwenzenu biashara yake, kama sio wanunuzi nadhani mngepita kimya kimya! Kama nyi hamna uwezo wa kulihudumia basi wapo walio na uwezo huo!

Nunua ww uone sebene lake la twanga lile la dk 40 halioni ndani kudadadeki
 
Nunua ww uone sebene lake la twanga lile la dk 40 halioni ndani kudadadeki

Usikariri ndugu. Ongea kwa uzoefu, sio kusikia kwenye vijiwe vya kahawa. Nina Toyota Mark II Cresta JZX 100 (2002) yenye Cc hizo hizo 2500, sijaona shida yoyote mpaka sasa kwenye matumizi ya mafuta. Huu ni mwaka wa tano inadunda mzigo. Injini ya hii Mark II inayotangazwa na hii yangu ni hiyo hiyo 1G. Usiseme TWAFA, sema NAFA.
 
Hizi mashine nazipenda tu zinavyotulia barabarani haswa ukiwa wasafiri mkoa hadi mkoa....utaipenda!!!

Kwa hapo tu, utaipenda hii gari, halafu uwe umeipiga mzigo kama kilo 150 au 200 kwa buti, uta enjoy sana kwa jinsi inavyotulia na njia.
 
Usikariri ndugu. Ongea kwa uzoefu, sio kusikia kwenye vijiwe vya kahawa. Nina Toyota Mark II Cresta JZX 100 (2002) yenye Cc hizo hizo 2500, sijaona shida yoyote mpaka sasa kwenye matumizi ya mafuta. Huu ni mwaka wa tano inadunda mzigo. Injini ya hii Mark II inayotangazwa na hii yangu ni hiyo hiyo 1G. Usiseme TWAFA, sema NAFA.

Ujui magari ww na ujanja wote unanunua gari yenye injini ya jzx inaonesha walikufunika subiri likutokee puani cku 1 ndo utalijua kwa taarifa yako mi grande mark ya 2003 regalia cc 1980 mwaka 4 huu achana na hlo nina grade 1 ya mv machanics na grade 2 ya umeme wa magari kwa hyo najua vyote ila cwez kuandika ukihitaji ufafanuzi ni pm nikutoe ushamba kisomi
 
Ujui magari ww na ujanja wote unanunua gari yenye injini ya jzx inaonesha walikufunika subiri likutokee puani cku 1 ndo utalijua kwa taarifa yako mi grande mark ya 2003 regalia cc 1980 mwaka 4 huu achana na hlo nina grade 1 ya mv machanics na grade 2 ya umeme wa magari kwa hyo najua vyote ila cwez kuandika ukihitaji ufafanuzi ni pm nikutoe ushamba kisomi

Hongera sana ndugu. Kumbe fundi mchundo.
 
Back
Top Bottom