Mark Angel Comedy!!!

roservelt

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
1,418
Reaction score
1,520
Kwa wale wapenzi wa comedy..kuna hili kundi la mark angel comedy from Nigeria. Ndani ya kundi utakutana na wakali kama uncle Mark, Emanuella, Chikwamecka.. na wengine....
Kwa kweli vijana wako vizuri na creative, mi emanuella hua ananikosha..kama hujafanikiwa kuziona comedy zao zitafute YouTube .......
Kwa kweli vijana wako vizuri..
 
kuna ile ya Ngwaa ngwaa ngwaa ngwaaaaaaaaa,
nikiwa down naiweka nacheka sanaaaaa.
 
Hiviii hawajatoaa DVD zaoo maanaa nkizamaga YouTube napoteleagaa ukoo mpaka text pendwaa kutokaa Vodacom kifurush kimekwishaa
 
kuna ile ya Ngwaa ngwaa ngwaa ngwaaaaaaaaa,
nikiwa down naiweka nacheka sanaaaaa.
Do five page ngwa ngwa........add more pipipipi.......hua nairudia rudia sana ..sichoki kuitazama
 
She is walking like torotoro, ile ya Back-Bark hatari sana hawa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…