Adilinanduguze2
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 1,202
- 1,591
Inasemekana husda ndio iliyomuondoa Safari Trippers inasemekana wazee wengi waliopo pale hawakupenda kung'ara kwa nyota ya Marijani
Alichofanya Marijani hakuchukua wanamuziki alichukua wapenzi wa muziki akawakusanya akawa train baada ya muda akaenda kuperform ktk eneo la wazi kiingilio bure na mojawapo ya kibao kipya alichoporomosha siku hiyo kulikuwa "Mayasa" hapo ndipo jina la "JABARI LA MUZIKI" liliposadifu
Kuhusu wimbo wa "Mama Watoto" inasemekana aliuimba kuakisi ya nyumbani kwao kwani mama yake alifariki muda si mrefu baada ya kuzaliwa kwake hivyo alilelewa muda mrefu na mama wa kambo ambaye alikuwa aki mnyanyasa sana kufikia kiasi cha kumtungia wimbo huo akijifanya ywye kama ndiyo baba akimuasa mkewe
Alichofanya Marijani hakuchukua wanamuziki alichukua wapenzi wa muziki akawakusanya akawa train baada ya muda akaenda kuperform ktk eneo la wazi kiingilio bure na mojawapo ya kibao kipya alichoporomosha siku hiyo kulikuwa "Mayasa" hapo ndipo jina la "JABARI LA MUZIKI" liliposadifu
Kuhusu wimbo wa "Mama Watoto" inasemekana aliuimba kuakisi ya nyumbani kwao kwani mama yake alifariki muda si mrefu baada ya kuzaliwa kwake hivyo alilelewa muda mrefu na mama wa kambo ambaye alikuwa aki mnyanyasa sana kufikia kiasi cha kumtungia wimbo huo akijifanya ywye kama ndiyo baba akimuasa mkewe