Marian Boys High School

Marian Boys High School

djsisco

Senior Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
104
Reaction score
15
Anayeifahamu Marian Boys, tafadhali niambie ada yao kwa A-Level na vigezo vya kuingia hapo
 
una jinsia mbili,kuna marian girls high school
 
Kuna taarifa kwamba bagamoyo kuna shule ya watoto wa kike imekubuhu kwa mapenzi ya jinsia moja!!Hope hakuna shule ya watoto wa kiume bagamoyo iliyokubuhu kwa mapenzi ya jinsia moja na Marian Boys ni moja wapo.
 
Mariam Boys High School, ipo Kerege-Bagamoyo, na tarehe 8 Jumamosi wanafafanya mtihani wa kujiunga na kidato cha 5 mwaka huu
 
...mmmh wachangiaji mbona hawajibu swali la mleta mada ? au mi sijaelewa kilichoulizwa....
 
Anayetafuta majibu alipata jibu lake tangu mwaka uliopita. Usipoteze muda wa watu na mambo yaliyopitwa na wakati.
 
Kuna taarifa kwamba bagamoyo kuna shule ya watoto wa kike imekubuhu kwa mapenzi ya jinsia moja!!Hope hakuna shule ya watoto wa kiume bagamoyo iliyokubuhu kwa mapenzi ya jinsia moja na Marian Boys ni moja wapo.
utaishia na story za kwenye magazeti na sisi wenzio tunapeleka watoto shule wewe peleka madrasa kwa wivu wako wa kidini. wakikua msilalamike kuwa mfumo kristo unawatesa. ni kwasababu ya akili kama za kwako. hakuna shule wanazochunga watoto kama shule za masista/seminary za katoliki. marian bagamoyo na st.francis mbeya. hizo ni bora kuliko hata hizo za rwakatale.
 
Jamani wana Jf naomba kujua Ada ya Marian boys ya bagamoyo kama kuna yeyote anafahamu naomba anisaidie plz
 
Back
Top Bottom